Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 2,278
- 3,960
Ndio kwani hukumsikia
Umemnukuu mtu au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemnukuu mtu au
Kwani huyo jamaa si mwananchi? Me nadhani tumefika huku kote kwasababu ya siasa maji taka. Jeshi la police lingefanya kazi kwa kufuata miongozo yao ya kazi na wala lingekuwa halijiusishi sana na wanasiasa lingeheshimika na hata lingepewa ushirikiano na wananchi.HIVI MMEISIKILIZA HII CLIP NDIYO MKAJA KUANDIKA HAYO MNAYOYAANDIKA? IMEELEZWA KABISA WALIFIKA KWA MWENYEKITI WA MTAA WAKAJITAMBULISHA WAKAONDOKA PAMOJA NA HUYO KIONGOZI WAKAENDA KWA MTUHUMIWA JAMAA ALIKUWA AMEJIANDAA AKATOKA NA CHA MOTO AKAANZA KUWAMIMINIA RISASI WAWILI WAKAFA NA YEYE WAMAEMZIMISHA SASA HAPO SUALA LA WANANCHIKUKOSA IMANI NA POLISI NI UPI HAWAKUSHIRIKI HATA KIDOGO ILIKUWA JAMAA NA MTUHUMIWA TU
Pole kwao +familia zao+taifa.Wananchi wameamua kuwafikia Askari. Katika hali inayosikitisha na ya kuonesha imani imeisha kati kati ya wananchi na Askari. Kumetokea mauaji huko Dodoma.
Tupate habari kamili.
View attachment 3179538
Nahawa walijua kua jamaa bado hzo ml aloiba zpo ndan wapte nazo waseme mtuhumiwa kakutwa na afutatuP
Ukiona bidii kubwa ya jeshi la polisi la Tanzania kwenye tukio la ukamataji fahamu kilichokuwa kinafuatwa ni zaidi ya mtuhumiwa, mfano aliyewacholea ramani kawahadaa jamaa ana kilo 8 za dhahabu, jamaa wakajaa, ni mawazo yangu Tu.