Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Nasikitika sanaMama kafilisika mapema hii hivi??!!!
Kweli Kabisa Mkuu....Tatizo polisi wengi wana D 2 tu kwenye NECTA ya form 4.
Maelekezo ya kanisaHili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
Fuq CCMHili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
Hivi yule jamaa alikamatwa ?Wakumbushe kuwa aliyekua Mkurugenzi was Itigi alienda akafyatua risasi Kanisani akamuua muumini mmojja, as we speak Yuko Lupango na Godfather wake ameshazikwa....yuko yeye na baadhi ya Askari.....
Jiwe alisema wabunge wengi yeye ndiye kawapa huo ubunge kwa kuiba kura, hilo unalisemeaje?Mbona hao chadema waliokamatwa wamevaa sare za chama hawaonekani? Pamoj na kuendeleza siasa za propaganda mfu lkn kikifika kipindi cha uchaguzi mnaangukia pua. Mjifunze kutafuta mbinu nyingin zenye mashiko, hizi hazina maana sababu zimeshatumiwa san na CUF miaka ishirini iliyopita na bado hazikuwa msaada kwao.
Wewe ni mapimbi Kati ya mapimbi wengine ujinga tu umekujaaMagaidi wasakwe kila kona kanisani na misikitini.
#gaidi mbowe