mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Waliingia na viatu?Walishawahi kuingia siku za nyuma kama sijakosea Dar ila sikumbuki Msikiti gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliingia na viatu?Walishawahi kuingia siku za nyuma kama sijakosea Dar ila sikumbuki Msikiti gani
Huwezi ukavaa gwanda ukatinga kanisani,mavazi ya vyama hayaruhusiwi kwenye nyumba za ibada.Ibadani kuna nguo zake utakiwi kuvaa gambuti,overoli,dela,bikini,nguo za kuogelea,nguo za disco,jezi za mpira.Kama ni vazi MTU aweza vaa asiwe wa chama.kama vile kuvaa safe za jeshi kumbe sio mwanajeshi
Nimecheka kwa nguvu ulichoandika hapa we kilaza, kuangukia pua ndio kupitia kura za kwenye yale mabeg meusi, na wakurugenzi kuwaengua wapinzani? Enzi za ccm kushinda kihalali kwa wingi zimepita, na hazitokaa zirudi tena. Ccm ni chama kizee hakina mvuto tena kwenye kizazi hiki, haya matumizi makubwa ya vyombo vya dola ni kwakuwa ushawishi wa kisiasa umeisha.Mbona hao chadema waliokamatwa wamevaa sare za chama hawaonekani? Pamoj na kuendeleza siasa za propaganda mfu lkn kikifika kipindi cha uchaguzi mnaangukia pua. Mjifunze kutafuta mbinu nyingin zenye mashiko, hizi hazina maana sababu zimeshatumiwa san na CUF miaka ishirini iliyopita na bado hazikuwa msaada kwao.
Ndiyo ililaaniwa sanaWaliingia na viatu?
Baba yako ni gaidi namba moja akiwemo Saambaya.Magaidi wasakwe kila kona kanisani na misikitini.
#gaidi mbowe
Acha ujinga ww faraMleta mada ulikuweko huko kanisani na ukashuhudia wanaendelea na ibada?
Kiongozi anatuhumiwa na ugaidi alafu usikie wanachama wamekusanyika mahali fulani kumzungumzia yeye, hii ni mbaya sana kiusalama.
TEC hii ya sasa ni kama vile kijiwe cha kahawa. Hawana mamlaka ya kimaadili kukemea chochote!Nasubiri tamko la TEC.
Wauamini kuvania kanisa si ndiyo ugaidi? Mnataka ushahidi tena? Nani huyo, Heche wa Kenya?Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?