Askari wavamia kanisa Mbeya kuwafuata wafuasi wa CHADEMA

Askari wavamia kanisa Mbeya kuwafuata wafuasi wa CHADEMA

Jumuia yetu iangaliwe vizuri tusije kuta mwenyekiti kaja kutuharibia usalama na umoja tuliokuwa nao. Mambo haya yamezidi sasa.
Ni Nani mwenye jukumu la kuangalia mwenendo wa jumuia yako Kama si wewe mlei?

Siasa zilishapenyeshwa makanisani na mwendazake, kwa Sasa ni consequences!
 
Tatizo polisi wengi wana D 2 tu kwenye NECTA ya form 4.
Umechangia kwa hoja dhaifu sana, nina uhakika hukuwahi kupita hata kozi ya mgambo.

Unahisi kufaulu shule ndio kuwa na akili ya kuchanganua mambo??
Tuna PhD kibao Tanzania lakini mtu mwenye PhD anaweza kuongea jambo ukimsikiliza unasikitika.
 
Labda Walimfuata sugu wakijua ataandaa kongamano la katiba baada ya Misa takatifu kumalizika.
 
Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.

Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.

Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?


View attachment 1867548
Wamechaganyikiwa. Wito wa katiba mpya ni tishio kubwa kwao.
 
Maswala ya Imani Kwa hapa nyumbani Huwa ni very sensitive

Naomba vyombo vya dola viwe makini wanapohandle mambo yanayohusiana na imani za watu.
 
Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.

Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.

Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?


View attachment 1867548
Sukuma Gang wanaitumia vema Polisi kumsagia Mama kunguni.
 
Polisi wenye silaha wamevamia Kanisa Katoliki, Mwanjelwa Mbeya, na kuwatoa nje wafuasi wa Chadema ambao ni waumini wa kanisa hilo kwa madai ya kutaka kumuombea Mbowe na kufanya maandamano baada ya ibada.

Polisi wamesema wafuasi wa Chadema walipanga leo wakamuombee Mbowe, na wakimaliza ibada wafanye maandamano kupinga kiongozi wao kushikiliwa kwa tuhuma za ugaidi. Hivyo wakazingira Kanisa hilo na kuamuru wafuasi wote wa Chadema watoke nje. Baadhi walitoka lakini wengine waliendelea na ibada.

Kiongozi mmoja wa jumuiya ambaye ni mjumbe wa CCM wilaya, aliwaambia polisi kwamba kuna waliokataa kutoka. Hivyo aliongozana na polisi kuingia ndani ya kanisa, na ku-point wafuasi wa Chadema anaowajua na polisi kuwatoa kwa nguvu. Hali hiyo imesababisha taharuki na kusimamisha ibada kwa muda hadi Polisi walipomaliza zoezi lao.

#MyTake:
1. Wafuasi wa Chadema wana haki ya kumuombea kiongozi wao kwa imani zao bila kuingiliwa na yeyote. Ni upumbavu kuwazuia kumuombea. Mmemkamata, mmemtuhumu kwa ugaidi. Bado mnaumia hata akiombewa? What a shame.!

2. Kama polisi waliambiwa Chadema wamepanga kuandamana baada ya ibada, wangesubiri ibada imalizike waone kama wataandamana ndipo wawadhibiti. Sio kwenda kuvamia iabda na kuwatoa kwa nguvu.

3. Polisi hawana mamlaka ya kuingilia ibada yoyote (hata ya mizimu) kama ibada hiyo haihatarishi amani. Elisha alipokua ktk ibada, kuna vijana walimdhihaki pale Betheli, ghafla wakatoka dubu porini na kuwararua wakafa. Wale waliopona vizazi vyao vililaaniwa, wakazaa mapooza. Kwahiyo Polisi wote waliohusika na dhambi hii wajiandae kubeba laana kwao na vizazi vyao.

4. Makanisa yote ya Kikristo yanapaswa kutoa KAULI KALI kukemea UDIKTETA huu. Kwanini waumini watolewe nje kwa sababu tu ni wa chama fulani? Uko wapi uchaji wa ibada? Iko wapi heshima ya Kanisa? Leo wametoa waumini, tusipokemea kesho watamtoa Askofu kwa mateke.

5. Hiki ni kiwango cha juu cha kudharau imani. JPM pamoja na "ubabe" wake hakuthubutu kutoa watu kanisani ili awakamate. Kanisa limedharauliwa sana leo. Litoke liseme NENO. Kanisa lisiposema, MUNGU mwenyewe ATASEMA.!
FB_IMG_1627221566589.jpg
 
Polisi wenye silaha wamevamia Kanisa Katoliki, Mwanjelwa Mbeya, na kuwatoa nje wafuasi wa Chadema ambao ni waumini wa kanisa hilo kwa madai ya kutaka kumuombea Mbowe na kufanya maandamano baada ya ibada.

Polisi wamesema wafuasi wa Chadema walipanga leo wakamuombee Mbowe, na wakimaliza ibada wafanye maandamano kupinga kiongozi wao kushikiliwa kwa tuhuma za ugaidi. Hivyo wakazingira Kanisa hilo na kuamuru wafuasi wote wa Chadema watoke nje. Baadhi walitoka lakini wengine waliendelea na ibada.

Kiongozi mmoja wa jumuiya ambaye ni mjumbe wa CCM wilaya, aliwaambia polisi kwamba kuna waliokataa kutoka. Hivyo aliongozana na polisi kuingia ndani ya kanisa, na ku-point wafuasi wa Chadema anaowajua na polisi kuwatoa kwa nguvu. Hali hiyo imesababisha taharuki na kusimamisha ibada kwa muda hadi Polisi walipomaliza zoezi lao.

#MyTake:
1. Wafuasi wa Chadema wana haki ya kumuombea kiongozi wao kwa imani zao bila kuingiliwa na yeyote. Ni upumbavu kuwazuia kumuombea. Mmemkamata, mmemtuhumu kwa ugaidi. Bado mnaumia hata akiombewa? What a shame.!

2. Kama polisi waliambiwa Chadema wamepanga kuandamana baada ya ibada, wangesubiri ibada imalizike waone kama wataandamana ndipo wawadhibiti. Sio kwenda kuvamia iabda na kuwatoa kwa nguvu.

3. Polisi hawana mamlaka ya kuingilia ibada yoyote (hata ya mizimu) kama ibada hiyo haihatarishi amani. Elisha alipokua ktk ibada, kuna vijana walimdhihaki pale Betheli, ghafla wakatoka dubu porini na kuwararua wakafa. Wale waliopona vizazi vyao vililaaniwa, wakazaa mapooza. Kwahiyo Polisi wote waliohusika na dhambi hii wajiandae kubeba laana kwao na vizazi vyao.

4. Makanisa yote ya Kikristo yanapaswa kutoa KAULI KALI kukemea UDIKTETA huu. Kwanini waumini watolewe nje kwa sababu tu ni wa chama fulani? Uko wapi uchaji wa ibada? Iko wapi heshima ya Kanisa? Leo wametoa waumini, tusipokemea kesho watamtoa Askofu kwa mateke.

5. Hiki ni kiwango cha juu cha kudharau imani. JPM pamoja na "ubabe" wake hakuthubutu kutoa watu kanisani ili awakamate. Kanisa limedharauliwa sana leo. Litoke liseme NENO. Kanisa lisiposema, MUNGU mwenyewe ATASEMA.!View attachment 1867776
Hii sasa mtaskia tena police wamechomwa moto na vituo vyao kuteketea
 
Mleta mada ulikuweko huko kanisani na ukashuhudia wanaendelea na ibada?

Kiongozi anatuhumiwa na ugaidi alafu usikie wanachama wamekusanyika mahali fulani kumzungumzia yeye, hii ni mbaya sana kiusalama.
 
Polisi wenye silaha wamevamia Kanisa Katoliki, Mwanjelwa Mbeya, na kuwatoa nje wafuasi wa Chadema ambao ni waumini wa kanisa hilo kwa madai ya kutaka kumuombea Mbowe na kufanya maandamano baada ya ibada.

Polisi wamesema wafuasi wa Chadema walipanga leo wakamuombee Mbowe, na wakimaliza ibada wafanye maandamano kupinga kiongozi wao kushikiliwa kwa tuhuma za ugaidi. Hivyo wakazingira Kanisa hilo na kuamuru wafuasi wote wa Chadema watoke nje. Baadhi walitoka lakini wengine waliendelea na ibada.

Kiongozi mmoja wa jumuiya ambaye ni mjumbe wa CCM wilaya, aliwaambia polisi kwamba kuna waliokataa kutoka. Hivyo aliongozana na polisi kuingia ndani ya kanisa, na ku-point wafuasi wa Chadema anaowajua na polisi kuwatoa kwa nguvu. Hali hiyo imesababisha taharuki na kusimamisha ibada kwa muda hadi Polisi walipomaliza zoezi lao.

#MyTake:
1. Wafuasi wa Chadema wana haki ya kumuombea kiongozi wao kwa imani zao bila kuingiliwa na yeyote. Ni upumbavu kuwazuia kumuombea. Mmemkamata, mmemtuhumu kwa ugaidi. Bado mnaumia hata akiombewa? What a shame.!

2. Kama polisi waliambiwa Chadema wamepanga kuandamana baada ya ibada, wangesubiri ibada imalizike waone kama wataandamana ndipo wawadhibiti. Sio kwenda kuvamia iabda na kuwatoa kwa nguvu.

3. Polisi hawana mamlaka ya kuingilia ibada yoyote (hata ya mizimu) kama ibada hiyo haihatarishi amani. Elisha alipokua ktk ibada, kuna vijana walimdhihaki pale Betheli, ghafla wakatoka dubu porini na kuwararua wakafa. Wale waliopona vizazi vyao vililaaniwa, wakazaa mapooza. Kwahiyo Polisi wote waliohusika na dhambi hii wajiandae kubeba laana kwao na vizazi vyao.

4. Makanisa yote ya Kikristo yanapaswa kutoa KAULI KALI kukemea UDIKTETA huu. Kwanini waumini watolewe nje kwa sababu tu ni wa chama fulani? Uko wapi uchaji wa ibada? Iko wapi heshima ya Kanisa? Leo wametoa waumini, tusipokemea kesho watamtoa Askofu kwa mateke.

5. Hiki ni kiwango cha juu cha kudharau imani. JPM pamoja na "ubabe" wake hakuthubutu kutoa watu kanisani ili awakamate. Kanisa limedharauliwa sana leo. Litoke liseme NENO. Kanisa lisiposema, MUNGU mwenyewe ATASEMA.!View attachment 1867776
Huyu mama ni kichaa kama Magufuli
 
Back
Top Bottom