Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwa nacheka sana mvaa msalaba wa mbao kilo 10 na wengine wa chuma na kasanamu kabikira Maria, anamcheka mvaa kobaz😁
View: https://x.com/qudsnen/status/1845472842076266872?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Uzuri wa Hezbullah hasemagi uwongo aliwambia Israel silaha zetu bado hatujazitumia nyie mnachopiga ni majumba na ma boom yenu yanawaka kama firegames mnasema silaha za Hezbullah 😄Hezbulah sio wa mchezo mchezo. Watachezea kichapo sana hapo Lebanon.
Hio inawezekana kakusudia North Israel au South Lebanon kutype North badala ya south sio kuwa habari ni uwongoPropaganda inapofeli......Israel kapeleka lini jeshi northern Lebanon wakati kaingia southern
Israel jeshi lao ni la hovyo!Huwezi kushinda vita bila ground war, angalia wanavyohangaika Gaza eneo la Gaza Kimara kubwa.
Acha wapelekeane moto watu wa dini za majahazi......kidogo vita ya mrusi na Ukraine ilikua na maana ila hapa mashariki ya kati naona vita imetawaliwa na hisia za udini, acha wafumuane tuIsrael angeachana na hiyo vita atapoteza sana wanajeshi huko maana wanapewa drone na Iran hao na wanazo za kutosha..
Nakanusha hio northern LebanonMuisrael mweusi wa SHAMWENNGO anakanusha kuwa Wanajeshi wa Israel hawajafa😅
Kabisa wako vzr angani.Israel jeshi la ardhini ni wabovu kupindukia.
Uwa nacheka sana mvaa msalaba wa mbao kilo 10 na wengine wa chuma na kasanamu kabikira Maria, anamcheka mvaa kobaz😁
View: https://x.com/qudsnen/status/1845472842076266872?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw