Mie huku nafurahia tu yeyote afumuliwe........kikubwa wengine tulikua na mrusi na Ukraine ila hizi vita za madini ya majahazi wakiweza wafutane wote tu tuanze 1Muisrael mweusi wa SHAMWENNGO anakanusha kuwa Wanajeshi wa Israel hawajafa😅
Wanaukumbi.
Katika pembe tatu ya Aita al-Shaab-Ramya-Qawzah kusini mwa Lebanon wanajeshi 30 wa Israel wametolewa nje na Hezbollah.
Tazama uchanganuzi wangu na jinsi nilivyotabiri hii itatokea:
=================
In the Aita al-Shaab-Ramya-Qawzah triangle in southern Lebanon 30 Israeli soldiers have been taken out by Hezbollah.Watch my breakdown and how I predicted this would happen:
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1845461295224529118?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOv👇🏽
Yule Waziri wa Ulinzi wa Israel anasema kalibia Hezbollah anaishiwa mabomu😅Uzuri wa Hezbullah hasemagi uwongo aliwambia Israel silaha zetu bado hatujazitumia nyie mnachopiga ni majumba na ma boom yenu yanawaka kama firegames mnasema silaha za Hezbullah 😄
Hezbullah atamtengeneza huyo ba atapiga calculations vizuri kabla hajaelekea Iran, asitegemee US ataweza mziki wa Iran hao askari zao waliopa Gulf Countries watakuwa sandwich 😄
Kabisa acha wazabane mpaka wachoke.Acha wapelekeane moto watu wa dini za majahazi......kidogo vita ya mrusi na Ukraine ilikua na maana ila hapa mashariki ya kati naona vita imetawaliwa na hisia za udini, acha wafumuane tu
Huyu bwbna wenu huwenda kaenda na maji maana ndiyo iliikuwa target ya Hezbollah, wana hasira naye kauwa sana watoto wa Gaza.Propaganda inapofeli......Israel kapeleka lini jeshi northern Lebanon wakati kaingia southern
Hehe mtajuana wenyewe...watu wa dini za majahazi fumuaneni tu......mmalizane maana wote ni washenzi tu hamna mwenye maana hapoHuyu bwbna wenu huwenda kaenda na maji maana ndiyo iliikuwa target ya Hezbollah, wana hasira naye kauwa sana watoto wa Gaza.
View: https://x.com/suppressednws/status/1845521797518614623?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wale ni wa 6 dunian kwa ubora tukiwapeleka wale Hezbollah na hamas watachapika.Mmh afu kuna jeshi la wavunja tofali wa nchii moja ya kusadikika ndo kwanza wame nunua bus zaid ya 20 za yutong
Unakanusha ukiwa wapi UTEGI?Nakanusha hio northern Lebanon
Hahahaha bado unakanusha😂Hehe mtajuana wenyewe...watu wa dini za majahazi fumuaneni tu......mmalizane maana wote ni washenzi tu hamna mwenye maana hapo
Akapulize vizuri hilo parapanda lake.
Hasira hizo, kondoo hamjifichi.Hehe mtajuana wenyewe...watu wa dini za majahazi fumuaneni tu......mmalizane maana wote ni washenzi tu hamna mwenye maana hapo
Nakanusha nikiwa mwembe yanga na kobazi langu kuuuubwaaaa......nikisubiri kupata daaahwa kwa bwana kishkiHahahaha bado unakanusha😂
View: https://x.com/suppressednws/status/1845520735554445417?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Huku ngamia akiwa kwenye sahani ya biriani........hasira kwani kuna babu yangu huko......wala sina ami myahudi wala kobaziHasira hizo, kondoo hamjifichi.
Kwisha habari yako.Nakanusha nikiwa mwembe yanga na kobazi langu kuuuubwaaaa......nikisubiri kupata daaahwa kwa bwana kishkiView attachment 3124154