Askofu Almachius Rweyongeza: JamiiForums pekee ndio wameripoti Waraka wa TEC mkataba wa DP World kwa Weledi

Huyo padri anasubiri jamaa yao kadedi ndio anasema uchaguzi ulikuwa na mapungufu, kama yeye mwanaume kweli angesema kipindi kile mgalatia mwenzao yuko hai.
 
Kama hoja ni mawazo ya wananchi kusikilizwa kwa nini hawakutoa waraka juu ya maoni ya wananchi kusikilizwa pale wananchi walipowalalamikia wenzao kula pesa za escrow?
Kaka kama masuala binafsi yatahitaji kutolewa waraka itakuwa kila siku ni waraka 😆😆😆....
 
Huyo padri zuzu kweli anasubiri jamaa yao kadedi ndio anasema uchaguzi ulikuwa na mapungufu, kama yeye mwanaume kweli angesema kipindi kile mgalatia mwenzao yuko hai.
Huyo Mama yenu asingekuwa Rais, bila Magufuli
 
Huyo padri zuzu kweli anasubiri jamaa yao kadedi ndio anasema uchaguzi ulikuwa na mapungufu, kama yeye mwanaume kweli angesema kipindi kile mgalatia mwenzao yuko hai.
Acheni mambo ya udini nyie watu.

Jee Masheikh waliwahi kulaani utawala Wa Magufuli?
 
Badala yake ni tamko lililo wafikia wengi zaidi kuliko walivyo dhani.
Asante mno jamii forums, hampo kwa bahati mbaya, kusudi la uwepo jamii forum ni ukombozi wa fikra zetu, ukombozi wa uhuru wetu, ukombozi wa kila linalo tupasa.
Jamii forums itakuwepo na itazidi kuwepo
 
Sasa kama limewafikia watu wengi kwa nini mnalalamika halijatangazwa na mainstream media?

Tukisema nyie watu mmechanganyikiwa mnatusema tunawaonea!

Mnasumbuliwa na sonona, chuki na msongo wa mawazo kwa kweli
 
Kwani kuachiwa inamaanisha hujafanya kosa?

Zombe aliachiwa kuhusu mauaji wa wafanyabiashara wa madini ila unaamini hakufanya lile kosa?
Zombe mahakama ilisema Ili kumtia hatiani ni mpaka awepo Koplo Sad kuthibitisha kuwa alitumwa na Zombe kuwaua wale wafanyabiashara wa madini wa mahenge.

Kwa Ivo mahakama haikuwahi kusema kuwa Zombe ana ama hana hatia mpaka pale Koplo Sad atakapopatikana.

Kwa ishu ya Rugemalira yeye hata kesi yenyewe haijawahi kuendeshwa.
 
Media za Tanzania kwa asilimia kubwa zinalelewa na CCM, ingekuwa ishu inayohusu CCM tena wangerusha 'live'.
 
Kwa hiyo malalamiko ya wananchi juu ya pesa za escrow yalikuwa masuala binafsi?
Mm binafsi niliona hivyo,labda nitoe kamfano ;pesa yako umeuza kiwanja ukagawa kwa jamaa zako.
Mm niitake pesa hiyo kwa madai yapi kaka.?

Mm nilielewa ilikuwa sehemu ya mtu binafsi aliyepata gawio lake akaamua kugawa kwa watu wake anawajua.
 
Kwani Rugemalila mahakama ilisema hana hatia?
 
Sasa kama limewafikia watu wengi kwa nini mnalalamika halijatangazwa na mainstream media?

Tukisema nyie watu mmechanganyikiwa mnatusema tunawaonea!

Mnasumbuliwa na sonona, chuki na msongo wa mawazo kwa kweli
Tulia brother, angalia hata upepo unavuma kuekekea wapi, uchawa usikutie aibu kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…