Askofu Almachius Rweyongeza: JamiiForums pekee ndio wameripoti Waraka wa TEC mkataba wa DP World kwa Weledi

Vitangaziwe bifu kama alivyotangaziwa Diamond na wazee wazima hovyo fulani hivi.....
 
We na akili yako timamu umesoma hadi phd, unaeeza pigia magoti cement na kuibusu ? Tunawapiga waabudia masanamu kwa nguvu zote
Na nyie mnaposujudu na kubong'oa hadi mnapata sugu kwenye paji za nyuso zenu ndiyo ujanja?
 
Wameshamaliza
 
S.M.P2503

"weredi" ndiyo nini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Message sent and delivered - ukitaka kuwa mwalimu wangu wa kiswahili karibu bila malipo. Ndivyo nilifundishwa hivo Na Nina A ya Kiswahili form four 1998. Wewe ulipata nini?
 
Huyo Padre yuko sahihi! TEC wako sahihi, wametimiza wajibu wao.
 
TEC Wameupeleka Waraka Kule Ambako Gazeti Halifi Na Likifika Wananchi Hawana Uwezo Wa Kununua. Catholic Wao Wnawasomea Bure Bila Kumi Nyekundu
Utaona Kanisa Lina Akili Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…