Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukemea dhambi ndio kazi zao.. Watu wakinajisi chama chetu au mifumo yetu ya kiutawala wametenda dhambi na lazima viongozi wa dini wawakemee.. Wanajua haki huinua taifa lazima waongee shetani ashindwe.
Huyu askofu anajitambua sana siyo wale wanao jikomba komba kwa watawala.Na hawa wa makanisani wangekaa kimya kuhusu siasa au Serikali ingewasweka kama mashehe wa Uamsho, maana nao siasa ziliwaponza baada ya kuhangaika na dini zao.
AminaKukemea dhambi ndio kazi zao.. Watu wakinajisi chama chetu au mifumo yetu ya kiutawala wametenda dhambi na lazima viongozi wa dini wawakemee.. Wanajua haki huinua taifa lazima waongee shetani ashindwe.
Hawa watu ipo siku watayakumbuka sana maneno yetu ingawa kwa sasa wanatuona kama tunampigia mbuzi gitaaaHistoria gani wakati mtu analaani maovu yanayotendeka wakati huu, tendeni haki kwa wapinzani sanduku la kura litaamua, wacheni huo uhuni wenu wa kuchagulia watu viongozi wasiowataka.
Angalau tumsifu kwa hili aliloweza kulifanya, maana wengi wao wameziba kabisa masikio kisa wanahijaji kujaza matumbo yao.Askofu unaongea na sikio la kufa?
CCM NA TAASISI ZAKE WAMEKUWA NI MBUZI HATA UWAPIGIE GITARI HAWAWEZI KUUSIKIA MZIKI WOWOTE
HAO NI CANCER NA DAWA YAKE NI KUFANYIWA OPERATION TU
Wao wanacho jali ni kuendelea kutunyonya tu kwa mabavuUongozi wa kutofata haki utakuja kusababisha tatizo mno.
Ni watumwa wa watawalaTume inaamua nani awe kiongozi? upuuzi kabisa
Hao kwa sasa ndiyo tumaini pekee la watanzaniahuku kulia yupo Askofu Bagonza, hapa kati wapo Sheikh Ponda & Askofu Mwamakula na kushoto pale kasimama Askofu Niwemugizi.
mbarikiwe sana enyi watumishi wa Mungu!
Waburuzwe kabisa icc na waozee huko hukoUongozi mzima wa NEC ni wa kusukumia NDANI
Wanao wakubali ni kina yule shehe wa mzizimaHuyu mzee MUNGU wa mbinguni amlinde sana maana system haitaki hata kumuona
Na hawa wa makanisani wangekaa kimya kuhusu siasa au Serikali ingewasweka kama mashehe wa Uamsho, maana nao siasa ziliwaponza baada ya kuhangaika na dini zao.
Zombie la Lumumba ktk ubora wakoHuyu baba Askofu ana historia ya kumnyanyasa kisaikolojia msomi Magufuli tangu alipokuwa Katoke Seminary
Tangu wakati wa Corona
Na wakati huu wa Uchaguzi mkuu