Askofu Bagonza ajiepushe na upindifu wa kimantiki unaoweza kuzaa taharuki ya kijamii bila uhalali

Askofu Bagonza ajiepushe na upindifu wa kimantiki unaoweza kuzaa taharuki ya kijamii bila uhalali

Ndugu, huwa sifanyi ujinga huo. Picha hiyo ipo kwenye ukurasa wa wanachadema wenyewe. Tazama hapa: Chadema in Blood. Ilibandikwa hapo 15 Desemba 2020. Naiposti tena hapa chini bila labels zangu, lakini kwa kuonyesha context ya mtandaoni ...

View attachment 2518140

Picha zingine zilizo kwenye ukurasa wao hizi hapa:

View attachment 2518141
Na hii....
View attachment 2518142
Na hii....
View attachment 2518192
Na hii....
View attachment 2518201

Kwa ajili ya kukuondolea shaka kuhusu anatomia ya vidole vya Lissu, picha hii hapa inamaliza utata (iangalie vizuri):

1.jpg

Hii nayo nimeichakachua?
Kusema ukweli umekurupuka sana kabisa..yaani kwakua picha iliwekwa kwenye CHADEMA IN BLOOD basi inafanya mkono wa msaidizi wa Lissu uwe mkono wa Mh.Askofu? Ungejenga hoja nyingine kuliko kusema eti ule mkono niwa Baba Askofu. Mkono wa Askofu mmoja ndiyo huo akishikana na Lissu na mwingine ajashika popote. Usitufanye wajinga.
 
Kanuni za usanifu wa hoja zinatutaka kutofautisha hoja na mleta hoja. Tujielekeze kwenye hoja. Nimesema kuwa, ni jukumu la Lissu na Bagonza kujitetea kuhusu tuhuma hizo mbili. Hakuna mtu mwingine anayeweza kuwatetea vizuri. Sababu ni mbili.

Mosi, mosi, Lissu ndiye anavijua vidole vyake vizuri. Anapaswa kutokea mbele ya kamera ya TV na kuweka bayana anatomia yake ili watu tuone vidole vyake vina muundo gani. Mojawapo ya picha hizi mbili, hapa chini, itajitokeza, nasi tutapata ushahidi wa awali kuhusu tuhuma hizo:

View attachment 2518118

Pili, uwiano wa urefu wa kidole cha pili na cha nne (2D:4D ratio) sio confirmatory test ya ushoga wala kinyume chake.

Kuna tafiti zinaonyesha mashoga wenye vidole vyenye 2D:4D ratio ya kike, wapo mashoga wenye vidole vyenye 2D:4D ratio ya kiume, wapo wanaume wa kawaida wenye vidole vyenye 2D:4D ratio ya kike, wapo wanawake wa kawaida wenye vidole vyenye 2D:4D ratio ya kiume.

Ni kama ambavyo wako wanaume wenye sura za kike, na wanawake wenye sura za kiume, na maisha yanasonga mbele.

Confirmatory tests za ushoga ni mbili: hormone test pamoja na sexual orientation test. Kuhusu hili la pili, hakuna mtu mwingine anayeweza kutupa taarifa sahihi isipokuwa mtuhumiwa mwenyewe.

Maana yeye pekee ndiye anayeweza kujichunguza na kujifahamu vizuri kuanzia kwenye mtazamo wa nafsi ya kwanza, yaani from the first person perspective (introspection).

Mbali na hapo sisi watazamaji wa nje tutatambua mbetuko wa kimapenzi wa mtu kwa kuangalia tabia yake, yaani anapenda kutiana na kina nani.
Kwa hiyo kama ikitokea Lissu akawa na vidole mnavyodai ni vya mashoga kwa hizo tafiti zenu, ndio tu-conclude Lissu ni shoga?!

This is too low.
 
Kwa hiyo kama ikitokea Lissu akawa na vidole mnavyodai ni vya mashoga kwa hizo tafiti zenu, ndio tu-conclude Lissu ni shoga?!

This is too low.
Huyu ni mpiga ramli tu hamna jambo lolote hapo kabisa. Vidole na tabia za watu wapi na wapi.
 
Kwa hiyo kama ikitokea Lissu akawa na vidole mnavyodai ni vya mashoga kwa hizo tafiti zenu, ndio tu-conclude Lissu ni shoga?!

This is too low.
Kwa ujumla, tafiti zote za kisayansi zinaonyesha kwamba, miongoni mwa wanaume, “hisa ya urefu wa kidole cha pili dhidi ya urefu wa kidole cha nne” inaanzia 0.918 hadi 0.976, wastani wa 0.947.

Na miongoni mwa wanawake, fafiti hizo zinaonyesha kwamba, “hisa ya urefu wa kidole cha pili dhidi ya urefu wa kidole cha nne” inaanzia 0.939 hadi 0.991, wastani wa 0.965.

Linabaki ni jukumu la Bagonza na Tundu Lissu kujibu tuhuma mbili zinazoelekezwa kwao.

Yaani: (1) Je, ni kweli kwamba katika kiganja cha Lissu, kidole cha pili ni kirefu kuliko kidole cha nne? (2) Na je, kama ni kweli kwamba, katika kiganja cha Lissu, kidole cha pili ni kirefu kuliko kidole cha nne, taarifa hiyo inamaanisha kwamba lazima Lissu ni shoga?
 
Kusema ukweli umekurupuka sana kabisa..yaani kwakua picha iliwekwa kwenye CHADEMA IN BLOOD basi inafanya mkono wa msaidizi wa Lissu uwe mkono wa Mh.Askofu? Ungejenga hoja nyingine kuliko kusema eti ule mkono niwa Baba Askofu. Mkono wa Askofu mmoja ndiyo huo akishikana na Lissu na mwingine ajashika popote. Usitufanye wajinga.
Kwa ujumla, tafiti zote za kisayansi zinaonyesha kwamba, miongoni mwa wanaume, “hisa ya urefu wa kidole cha pili dhidi ya urefu wa kidole cha nne” inaanzia 0.918 hadi 0.976, wastani wa 0.947.

Na miongoni mwa wanawake, fafiti hizo zinaonyesha kwamba, “hisa ya urefu wa kidole cha pili dhidi ya urefu wa kidole cha nne” inaanzia 0.939 hadi 0.991, wastani wa 0.965.
 
Huyu ni mpiga ramli tu hamna jambo lolote hapo kabisa. Vidole na tabia za watu wapi na wapi.
Inashangaza! Kusikia kwamba eti mashoga huzaliwa wakiwa na chembe chembe za ushoga ndiyo maana hata vidole vyao vimebeba sifa hizo. Kama ndivyo, kosa la mashoga ni nini hasa ikiwa huzaliwa hivyo?
 
Weka ushahidui mezani tuujadili
Katika Hali ya kawaida why should you waste your time writing all this long unfounded allegations unnecessarily? Hivi kweli Mungu alikuleta Duniani ili uwe mzushi, mzandiki na mwongo? Huku ukijua unanena uwongo?!
Huna kitu kingine utafanya kujipatia kipato bila kuwa mwongo na mzandiki?! Mungu anakupa afya njema kila leo uendelee kufanya haya unayofanya ya kizandiki?
 
Mdahalo uendelee.
samahani : Naomba kukuuliza , unapoandaa na kuandika andiko kama hili na mengine mengi yanayofanana na hili , unatumia mbinu gani ?!, ukizingatia lugha ya kiswahili haijitoshelezi kimsamiati lakn ww katika maandiko yako ,umeweza tena kwa kiasi kikubwa kabisa ,kwanza kuandika mada zenye kuleta maana na mantiki kwa hadhira ,ukizingatia wakati huo chuo kikuu tunadai hatuwezi kutumia kiswahili kwasababu hakijitoshelezi kimsamiati .msaada Tafadhari.
 
samahani : Naomba kukuuliza , unapoandaa na kuandika andiko kama hili na mengine mengi yanayofanana na hili , unatumia mbinu gani ?!, ukizingatia lugha ya kiswahili haijitoshelezi kimsamiati lakn ww katika maandiko yako ,umeweza tena kwa kiasi kikubwa kabisa ,kwanza kuandika mada zenye kuleta maana na mantiki kwa hadhira ,ukizingatia wakati huo chuo kikuu tunadai hatuwezi kutumia kiswahili kwasababu hakijitoshelezi kimsamiati .msaada Tafadhari.
Mada aliyoandika ina mantiki gani zaidi ya uzumbukuku?
 
Hoja inapingwa na Hoja mbadala , kutukana na kutumia lugha ya kuudhi na matusi ,Haifai na pili ni kinyume na miiko na maadili ya kanuni za majadiliano yenye kuleeta .
Hapa hakuna alichokiandika zaidi ya upuuzi mtupu wa kudhalilisha upande asioupenda
 
Mkuu , Mmawia ... , Wastaraabu Huwa Hawatukani , Kama una unapinga Hoja Tajwa kwenye andiko basi ni vema ukaleta Hoja pingamizi ( Hoja mbadala dhidi ya Hoja tajwa hapo juu kwenye bandiko hili)
Hapa ni jukwaa la siasa hatuna kuremba kama ameamua kuwatukana viongozi wetu tutamshushia kibano
 
Kwa hiyo kama ikitokea Lissu akawa na vidole mnavyodai ni vya mashoga kwa hizo tafiti zenu, ndio tu-conclude Lissu ni shoga?!

This is too low.
Huyu ni mpiga ramli tu hamna jambo lolote hapo kabisa. Vidole
Yaani wewe unakimbia hoja...yangu kuhusu mkono wa Mh.Bagonza
 
samahani : Naomba kukuuliza , unapoandaa na kuandika andiko kama hili na mengine mengi yanayofanana na hili , unatumia mbinu gani ?!, ukizingatia lugha ya kiswahili haijitoshelezi kimsamiati lakn ww katika maandiko yako ,umeweza tena kwa kiasi kikubwa kabisa ,kwanza kuandika mada zenye kuleta maana na mantiki kwa hadhira ,ukizingatia wakati huo chuo kikuu tunadai hatuwezi kutumia kiswahili kwasababu hakijitoshelezi kimsamiati .msaada Tafadhari.
Asante kuuliza.

Ni kweli, lugha ya kiswahili haijitoshelezi kimsamiati, lakini inaweza kutumika hata chuoni.

Kuna wakati nakosa misamiati ambayo ni kisawe sahihi, lakini natumia mbinu kadhaa za kutafsiri. Mfano, nilipokuwa natafsiri "explicit contradiction", "implicit contradiction" na "formal contradiction" nilihakikisha nimeelewa vizuri kinachosema, na kukipa tafsiri yangu.

Niliposoma nikaona naeleweka. Kwa hiyo, Kiswahili kinaweza kutumika popote. Tatizo ni mtazamo tu.

Mfano, baadhi ya wasomaji wanataka nikiandika kwa Kiswahili, kisha nitoe tafsiri ya Kiimgereza ili waweze kuelewa zaidi.

Nafanya hivyo mara moja moja, japo inachosha. Kunahitajika muda, na rasilimali baki, wakati nafanya kazi hii bila malipo.
 
Asante kuuliza.

Ni kweli, lugha ya kiswahili haijitoshelezi kimsamiati, lakini inaweza kutumika hata chuoni.

Kuna wakati nakosa misamiati ambayo ni kisawe sahihi, lakini natumia mbinu kadhaa za kutafsiri. Mfano, nilipokuwa natafsiri "explicit contradiction", "implicit contradiction" na "formal contradiction" nilihakikisha nimeelewa vizuri kinachosema, na kukipa tafsiri yangu.

Niliposoma nikaona naeleweka. Kwa hiyo, Kiswahili kinaweza kutumika popote. Tatizo ni mtazamo tu.

Mfano, baadhi ya wasomaji wanataka nikiandika kwa Kiswahili, kisha nitoe tafsiri ya Kiimgereza ili waweze kuelewa zaidi.

Nafanya hivyo mara moja moja, japo inachosha. Kunahitajika muda, na rasilimali baki, wakati nafanya kazi hii bila malipo.
Binafsi nashukuru sana mama amoni.
Maandiko yako Ni mwanga kwangu ,hasa ukizingatia mimi ni mwanafunzi wa shahada ya awali katika chuo kikuu.
 
Binafsi natamani lakn pia napenda sana maandiko yenye mrengo wa tafakari kama ambayo ww huwa unayaandika hapa.

Natamani sana siku moja na mm niwe na uwezo wa kuandika na kuchapisha maandiko hasa ya kitaaluma ,yaaani publishing Research, Articles ,Books ,papers ,essays in International journals like Academia ,Researchegate ,Google scholar .

Msaada wako Tafadhari katika hili ,naomba unisaidie niweze ku-publish paper na Research kwenye International journals .

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom