Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Baba Askofu yuko vizuri PhD yake haina mashaka wala hatuwezi kuhoji alisoma chuo gani na alipata alama gani wakati akichukua BA,MA na PhD.
Mungu katupa akili siyo akiriaskof aliyekengeuka. Kuna ubaya gani kutumia akiri hizi hizi tulizopewa kumtegemea Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa tupo Tanganyika na mimi nimeizungumzia Tanganyika. Je wewe unandugu ambaye amekufa kwa Corona? Au katika eneo ambalo unaishi umepata taarifa nyingi za vifo kuliko kawaida?Tangu lini homa ya kawaida inaua maelfu kwa siku moja? THINK.
Mungu Baba Mwenyezi ni Muumbaji. Alituumba binadamu kwa "MFANO WAKE".askof aliyekengeuka. Kuna ubaya gani kutumia akiri hizi hizi tulizopewa kumtegemea Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako ni kidogo mno!Mtu anaemtambia Mungu anatembea na ulinzi mzito... kwanini hatembei peke ake Mungu amlinde?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Usifikiri kila mtu ni masikini kama weweWewe bado kula kulala huwezi kuwa na nyumba yenye fens,mbwa,CCTV nk
Kaza makalio utapata tu.
Ukishapata hivyo vitu ndio utamwelea baba askofu.
Sawa wewe mwenye fensi,mbwa na CCTV kaza makalio utakazwa.Wewe bado kula kulala huwezi kuwa na nyumba yenye fens,mbwa,CCTV nk
Kaza makalio utapata tu.
Ukishapata hivyo vitu ndio utamwelea baba askofu.
Daah si mchezo.Niko upande wa Bangoza mtu mwenye PhD fake apashwi kupewa heshima
Huyo anayesema 'mavitambaa ya puani' mwenzako ana ma ventilators,1st class treatments,hutamkuta kwny nyomi ya watu,muone tu pale church anawasifia watu hawajavaa barakoa ukafikiri wale watu waliingia church bila kuchekiwa temperature zao.Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Hili swali kila baada ya siku 3 huwa nawauliza watu mbali mbali hapa dar lakini kila anajibu hakuna lakini wanasema wanasikia mahospitalin watu wanakufa. Sasa swali hao wanaokufa na sisi hatuwajuhi wanatokea wapiMkuu hapa tupo Tanganyika na mimi nimeizungumzia Tanganyika. Je wewe unandugu ambaye amekufa kwa Corona? Au katika eneo ambalo unaishi umepata taarifa nyingi za vifo kuliko kawaida?
Mtu anaemtambia Mungu anatembea na ulinzi mzito... kwanini hatembei peke ake Mungu amlinde?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako ni kidogo mno!
Unaweza kulala Mlango wazi kwakuwa unamwamini Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshapanic tayari! Hizi hasira mplekee mumeoJombaa unarukia treni kwa mbele utapakatwa.Nimemjibu Mpangumbe aliyesema hana 90% ya vitu alivyovitaja baba askofu Bagonza kwenye andiko lake.
Wewe bila kujua unakuja kujambajamba kwenye post za wanaume.
Hunijui sikujui sina haja ya kueleza financial status yangu.