Katashekadm
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 728
- 775
Jenga hojo dogo .matusi hayana msada kwako.wewe POYOYO, kabla hujamuuliza hayo maswali BAGONZA jiulize haya maswali?
UISLAMU na UKATOLIKI/LUTHERI umekuja na Meli.
ROMA/BABA MTAKATIFU alikuwa wa Kwanza kufunga Kanisa kubwa kabisa duniani St Peters Basilica na MECCA/UISLAMU wakafuata wakafunga msikiti mkubwa kabisa duniani na kufuta HIJJA za mwaka 2020, wewe POYOYO wa Tanzania usiyejua chanzo hata ch hizo dini, unayelishwa hadithi za MARIA , na Mtume ndio una imani kuliko walio zileta?>
Acha upumbavu, Corona ipo na inaua, haichagui dini wala kabila, mwezio alijifungia CHATO miezi miwili na mwanae alipoumwa akaagiza ndege ikachukue dawa madagaska, sasa wewe endelea na U-MATAGA wako utavuna unachotaka
Aliyekwambia Mungu yupo Roma au Saudia nani!
Italy vifo vilikuwa vingi sana. Ngara hakuna kifo hata kimoja!
Sasa kafungua makanisa. Je corona imeisha? Maana hata wewe unakiri bado ipo!
Dogo kubali tu askofu wetu imani yake ipo markiti