Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

wewe POYOYO, kabla hujamuuliza hayo maswali BAGONZA jiulize haya maswali?
UISLAMU na UKATOLIKI/LUTHERI umekuja na Meli.
ROMA/BABA MTAKATIFU alikuwa wa Kwanza kufunga Kanisa kubwa kabisa duniani St Peters Basilica na MECCA/UISLAMU wakafuata wakafunga msikiti mkubwa kabisa duniani na kufuta HIJJA za mwaka 2020, wewe POYOYO wa Tanzania usiyejua chanzo hata ch hizo dini, unayelishwa hadithi za MARIA , na Mtume ndio una imani kuliko walio zileta?>

Acha upumbavu, Corona ipo na inaua, haichagui dini wala kabila, mwezio alijifungia CHATO miezi miwili na mwanae alipoumwa akaagiza ndege ikachukue dawa madagaska, sasa wewe endelea na U-MATAGA wako utavuna unachotaka
Jenga hojo dogo .matusi hayana msada kwako.
Aliyekwambia Mungu yupo Roma au Saudia nani!
Italy vifo vilikuwa vingi sana. Ngara hakuna kifo hata kimoja!
Sasa kafungua makanisa. Je corona imeisha? Maana hata wewe unakiri bado ipo!
Dogo kubali tu askofu wetu imani yake ipo markiti
 
Jenga hojo dogo .matusi hayana msada kwako.
Aliyekwambia Mungu yupo Roma au Saudia nani!
Italy vifo vilikuwa vingi sana. Ngara hakuna kifo hata kimoja!
Sasa kafungua makanisa. Je corona imeisha? Maana hata wewe unakiri bado ipo!
Dogo kubali tu askofu wetu imani yake ipo markiti
tumepishana lugha, WANACHOTANGAZA ROMA NA MECCA ndicho tunachofuata na si upuuzi mwengine.

huwezi kuhiji bila mecca kutoa mwongozo na liturujia inapangwa VAtican,
Huwezi sali ama batizwa kama hakuna mwongozo toka kwa Papa, endeleeni na ujinga wenu mnaolishana huko burigi.
mimi si dogo, nipo na mtoto wa Umri wako, nina exposure na shekeli pia ipo.
 
a Askofu Bagonza


AKILI na IMANI

Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?

Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.

Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:

1. Tunajenga Nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.

2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka Nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.

3. Tunafuga Mbwa wakali, licha ya kuwa na Uzio.

4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.

5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.

6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.

7. Usiku tunaamka mara tatu-tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.


Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.

Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
Hatuwezi kuacha kuvaa Mask/Barakoa eti Mungu yupo, kwani huko VATICAN na MECCA dini zilipoanzia Mungu hayupo, yupo Tanzania pekee? UCHUMI vs MAISHA YA WATU! [MSISITIZO NI WANGU]


TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Yaan anateseka huyu askofu, na anavoona mkulu anazidi kuonyesha njia basi anaumwa zaidi.
Naogopa tu chuki yake anayoitunza mwilini itavomzalishia sumu ije imuangamize mwenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumepishana lugha, WANACHOTANGAZA ROMA NA MECCA ndicho tunachofuata na si upuuzi mwengine.

huwezi kuhiji bila mecca kutoa mwongozo na liturujia inapangwa VAtican,
Huwezi sali ama batizwa kama hakuna mwongozo toka kwa Papa, endeleeni na ujinga wenu mnaolishana huko burigi.
mimi si dogo, nipo na mtoto wa Umri wako, nina exposure na shekeli pia ipo.
Aisee kubali tu kwamba wewe ni mjinga mkuu!
Kwanza Bagonza ni KKKT siyo mvatican yule.
Kingine inaonekana kwenye mambo haya ya iman wewe ni mweupe kabisa kabisa alivyo huyo askofu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe POYOYO, kabla hujamuuliza hayo maswali BAGONZA jiulize haya maswali?
UISLAMU na UKATOLIKI/LUTHERI umekuja na Meli.
ROMA/BABA MTAKATIFU alikuwa wa Kwanza kufunga Kanisa kubwa kabisa duniani St Peters Basilica na MECCA/UISLAMU wakafuata wakafunga msikiti mkubwa kabisa duniani na kufuta HIJJA za mwaka 2020, wewe POYOYO wa Tanzania usiyejua chanzo hata ch hizo dini, unayelishwa hadithi za MARIA , na Mtume ndio una imani kuliko walio zileta?>

Acha upumbavu, Corona ipo na inaua, haichagui dini wala kabila, mwezio alijifungia CHATO miezi miwili na mwanae alipoumwa akaagiza ndege ikachukue dawa madagaska, sasa wewe endelea na U-MATAGA wako utavuna unachotaka
Kwahiyo Askofu anafungua makanisa corona imeisha kwenye dayosisi yake?

Hili suala la corona hivi hamuoni kama mnapuyanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a Askofu Bagonza


AKILI na IMANI

Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?

Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.

Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:

1. Tunajenga Nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.

2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka Nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.

3. Tunafuga Mbwa wakali, licha ya kuwa na Uzio.

4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.

5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.

6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.

7. Usiku tunaamka mara tatu-tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.


Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.

Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
Hatuwezi kuacha kuvaa Mask/Barakoa eti Mungu yupo, kwani huko VATICAN na MECCA dini zilipoanzia Mungu hayupo, yupo Tanzania pekee? UCHUMI vs MAISHA YA WATU! [MSISITIZO NI WANGU]


TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Kama anamnanga kimafumbo basi hafai kuwa askofu,askofu anatakiwa kusema ukweli hata mbele ya mfalme,huo ni unafiki na unafiki ni dhambi mkuu.
 
Kama anamnanga kimafumbo basi hafai kuwa askofu,askofu anatakiwa kusema ukweli hata mbele ya mfalme,huo ni unafiki na unafiki ni dhambi mkuu.
Fumbo ni Uongo? Kajambe mbele, Yesu Mwenyewe alifundisha kwa mafumbo toka amezaliwa mpaka anapaa Mbinguni,.
Shule tu zifunguliwe hiyo tarehe 1 maana watoto mmezidi humu
 
Niko upande wa Bangoza mtu mwenye PhD fake apashwi kupewa heshima

Bagomza hana imani halisi kuna mtu mmoja aliwahi kusema mambo flani ya huyu askofu mpaka nikawaza lakini kama alitibu basi sitamhukum ila kwa mwendo huu zambi zile zitakuwa zinamsumbua, toka alipotoka huko sijui ulaya au marekani kuja kushika hiyo nafasi, na vitendo vingine, kwa leo naishia hapa ili nipate ukweli wa kutosha.
 
Fumbo ni Uongo? Kajambe mbele, Yesu Mwenyewe alifundisha kwa mafumbo toka amezaliwa mpaka anapaa Mbinguni,.
Shule tu zifunguliwe hiyo tarehe 1 maana watoto mmezidi humu

Yesu huwezi kumlinganisha na binadam mwenye dhambi,
Nambie ywesu alikosea wapi katoka maisha yake?
Lakini huyo bagonza toka utoto wake anayo madhmbi mengi na ya ukubwani, na usishangae ukakuta analala na kinyongi moyoni kuhusu watu wengine, kitu ambacho ni dhambi kwa mtumishi wa mungu.
 
Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Haka kautumbo kazuri!!

Natafuta ndizi nipikie,ili kawe mswano!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a Askofu Bagonza


AKILI na IMANI

Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?

Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.

Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:

1. Tunajenga Nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.

2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka Nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.

3. Tunafuga Mbwa wakali, licha ya kuwa na Uzio.

4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.

5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.

6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.

7. Usiku tunaamka mara tatu-tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.


Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.

Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
Hatuwezi kuacha kuvaa Mask/Barakoa eti Mungu yupo, kwani huko VATICAN na MECCA dini zilipoanzia Mungu hayupo, yupo Tanzania pekee? UCHUMI vs MAISHA YA WATU! [MSISITIZO NI WANGU]


TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Hatukatai uaskofu ni cheo tu sio kwamba anamjua sana Mungu kuliko wengine
Poa Askofu ubarikiwe sana
 
tumepishana lugha, WANACHOTANGAZA ROMA NA MECCA ndicho tunachofuata na si upuuzi mwengine.

huwezi kuhiji bila mecca kutoa mwongozo na liturujia inapangwa VAtican,
Huwezi sali ama batizwa kama hakuna mwongozo toka kwa Papa, endeleeni na ujinga wenu mnaolishana huko burigi.
mimi si dogo, nipo na mtoto wa Umri wako, nina exposure na shekeli pia ipo.
Basi utakuwa unasumbuliwa na utindio wa ubongo
Kasome cannon laws utaelewa
Kwa hiyo Bagonza alipata ruhusa kutoka Vatican?
 
Huyu askofu ajue kwamba,pamoja na kwamba yeye ana cheo cha uaskofu lkn kuna serikalinpia anayotakiwa kwenda nayo kwa busara na hekima la sivyo anaonyesha kiburi cha hali ya juu. Hamiliki hii nchi wala hamiliki waumini, still waumini wapo mikononi mwa serikali, sio mali yake,yeye pia yupo chini ya serikali. Ajue hii mchi haiitwi Vatican ambako anadai ndio anawasikiliza, hii ni tz na iko na serikali yake tofauti na serikali ya vatican
 
Baada ya mahubiri hayo anataguna Sadaka na kuwaombea wenzake Toba huku tayari ameonesha hata yeye ni mdhambi.
Hapo nitatumia akili pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nadhani ktk tafsiri aliyo itoa Bagonza nadhani amebase upande mmoja wa matumizi ya akili na kwa maelezo yake kama kweli yy ndiye kaandika basi hakuna kosa linalofanywa na serikali maana vilevile akili ileile inaweza ikaamua kutumia imani kama sehemu ya maamuzi yake kama kweli issue ni akili.
 
Back
Top Bottom