Ukweli mchungu, nyie ndio huwa mnapiga kelele za hoja kwa hoja, hapo sijui umeandika hoja ya kikwenu.Kamanda Bagonza sijui 2025 atachukua fomu kugombea jimbo gani huko kagera? Chadema inaweza kuwa na matumaini ya ushindi
π€£π€£Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Anachomaanisha Bagonza, kama JK angeongoza basi tungeona replica ya yale yaliyokuwa yakifanyika kwenye utawala wa JK, lakini kinachoonekana sasa ni tofauti.Nadhani kikubwa kinachosemwa ni JK kuongoza hii awamu ya sita na si kwamba hii awamu ya sita au utawala huu wa Samia unafanana na awamu ya nne ya JK. Hata kipindi kile cha mwanzo cha uongozi wa Magufuli watu walikuwa wanasema JK anaongoza nchi kwa remote akiwa msoga pamoja na kwamba uongozi wake Magufuli haukufanana na wa JK.
Sasa siasa zetu zilivyo ni za kitimu kwamba uchague uwe upande A au B, yani unakuta mtu anajiita mkosoaji ila siku zote huona makosa ya upande mmoja tu ndio hukosoa kama A basi upande huo huo tu hukuti akikosoa upande B.Utakuwa na matatizo wewe, vipi ukiona wanasiasa wakileta siasa zao uchwara kwenye nyumba za ibada mapengo yote 32 unayakenua au vipi? Yaani unachunga kondoo halafu kila siku mara baadhi wamepotea au kupata misuko suko wewe kimya tuu mpaka waishe wote siyo? Halafu utakuwa unachunga mawe siyo?
Mie naongezea. Bagaonza na wenzako wanaojificha kwenye majoho anzisha chama badala ya kujiingiza kwenye siasa kwa mlango wa nyuma. Kikwete alikuwa bomu kuliko rais yeyote aliyewahi kuumbwa. Alikuwa rahisi na siyo rais. Alikuwa mzururaji na mtupu upstairs.
Anachomaanisha Bagonza, kama JK angeongoza basi tungeona replica ya yale yaliyokuwa yakifanyika kwenye utawala wa JK, lakini kinachoonekana sasa ni tofauti.
π€£π€£
Ndio maana nasema labda Askofu hajaelewa ambacho watu wanasema, yeye kaenda kulinganisha aina ya uongozi huu na wa JK hivyo nadhani angefuatilia vizuri kwanini watu wanamuhusisha JK na hii awamu ya sita.Anachomaanisha Bagonza, kama JK angeongoza basi tungeona replica ya yale yaliyokuwa yakifanyika kwenye utawala wa JK, lakini kinachoonekana sasa ni tofauti.
Inahusu upolitician wa awamu ya 5 Kwa hii najua sii awamu pendwa kwako.inakuhusu nini mzee
Kwani ndio nini hivi wewe naona umekomalia vitu vya kijinga, soma michango ya watu na sio kupekuapekua vitu visivyo na msingi.
kua popular inahusiana na awamu ya 5?Inahusu upolitician wa awamu ya 5 Kwa hii najua sii awamu pendwa kwako.
Kikwete alijitahidi sana kujikomba kwa wapinzani Hadi kuwa anawaalika kunywa chai na vitafunwa ikulu lakini malipo upinzani waliyomlipa ni matusi kutwa kuwa ni Raisi dhaifu kuwahi tokea Tanzania ni mpole mno na kazi yake kucheka cheka tu
Wakafikia hatua Hadi ya kumwita Vasco da Gama kuwa sijui.kala miguu ya kuku ndio maana hatulii nchini kutwa kusafiri wakasema Raisi hatakiwi kuwa mtu mpole na wa kucheka cheka.Ok Mungu na CCM tukasikia kilio chao Cha kutaka Raisi Mkali asiyecheka cheka na asiye mpole.Naona Sasa Askofu wa Chadema Bagonza na Chadema mnamwamkia Shikamoo Kikwete baada ya kushikishwa adabu na Marehemu Magufuli.
Haya Bagonza na Chadema niwaulize swali mnataka Raisi mpole na anayecheka cheka au Bado mko msimamo ule ule mliokuwa nao kabla Magufuli kuingia kuwa mnataka Raisi serious,Mkali asiyecheka cheka?
Kikwete pokea Shikamoo kutoka kwa Askofu Bagonza na Chadema .Usisite kuwajibu marahaba walishanyooka hao.Hata ulipohutubia kuwa huyu anayekuja sio mpole walizomea na kusema kwenda zako huko Hadi humu wakaandika Siku ukiondoka watafanya sherehe Leo wanalia Lia ohh Kikwete the best!!!!
Sasa Askofu Bagonza nenda kaungame dhambi kwa Kikwete mwende na Chadema wenzio na kabla ya kuungama dhambi mwamkieni kwanza Shikamoo
Niliongea toka zamani kwamba huu upumbavu wa wajinga,mtu akishakuwa Rais ni yeye hakuna ambae yuko tayari kuonekana ni mjinga ila haizuii Rais aliyepo kupiga simu au kuomba ushauri,hata aliyepita alikuwa anaomba ushauri kwa baadhi ya mambo kwa JK,hili aliongea JK mwenyew wakati wa msiba wa Mwendazake..Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Because you are SatanNikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Maoni ya Askofu Bagonza sio lazima yawe sahihi......Kwa muktadha wa mada iliyopo, hii awamu ya sasa imekuwa ikibomoa matofali yaliyowekwa na awamu nyingine, uwe unafikiria vizuri kabla hujafanya copy & paste hapa jukwaani.
πNiliongea toka zamani kwamba huu upumbavu wa wajinga,mtu akishakuwa Rais ni yeye hakuna ambae yuko tayari kuonekana ni mjinga ila haizuii Rais aliyepo kupiga simu au kuomba ushauri,hata aliyepita alikuwa anaomba ushauri kwa baadhi ya mambo kwa JK,hili aliongea JK mwenyew wakati wa msiba wa Mwendazake..
.Tena akaongezea kwamba wakiombwa ushauri sawa wasipoombwa napo ni sawa wataendelea na maisha yao..JK ana shughuli nyingi za kufanya Afrika na Duniani Sio sawa na Sumaye anatangatanga maana hana pa kufanya.
Niliongea toka zamani kwamba huu upumbavu wa wajinga,mtu akishakuwa Rais ni yeye hakuna ambae yuko tayari kuonekana ni mjinga ila haizuii Rais aliyepo kupiga simu au kuomba ushauri,hata aliyepita alikuwa anaomba ushauri kwa baadhi ya mambo kwa JK,hili aliongea JK mwenyew wakati wa msiba wa Mwendazake..
.Tena kwamba wakiombwa ushauri sawa wasipoombwa napo ni sawa wataendelea na maisha yao..JK ana shughuli nyingi za kufanya Afrika na Duniani Sio sawa na Sumaye anatangatanga maana hana pa kufanya.