Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Huyo mtu wakutuswaga hivyo atapatikana vip?.Ndo maana wenye akili wanataka katiba mpya yenye ubora utakao weka mifumo thabiti yakuongoza nchi kwenye kila nyanja badala yakutegemea mtu ambaye ata akipatikana bado atapita uku nchi ikiendelea kuwepo.
Kabisa asee
 
Mie naongezea. Bagaonza na wenzako wanaojificha kwenye majoho anzisha chama badala ya kujiingiza kwenye siasa kwa mlango wa nyuma. Kikwete alikuwa bomu kuliko rais yeyote aliyewahi kuumbwa. Alikuwa rahisi na siyo rais. Alikuwa mzururaji na mtupu upstairs.
Stupid comment!

Utakuta na wewe una mke na watoto...pole yao kwa kuzaliwa na kilaza.
 
JK ni aina ya Rais anayepaswa kuongoza Taifa ambalo limeshaendelea tayari na watu wake kwa zaidi ya 80% wanajielewa na wamestaarabika na mifumo iko tayari...
JK anaweza kuongoza nchi yeyote Ulaya au hata USA..

JPM anafaa na alifaa kuliongoza Taifa kama hili ambali bado haliko tayari kimifumo na zaida ya 80% ya watu wake ni wajinga na wapumbavu wasiojielewa... Watanzania bado wako kwenye stage ya kuswagwa kama punda au ng'ombe na wakishavuka hiyo stage sasa ndio wanapaswa kuongoza watu kama JK....Unafikiri hawa wapumbavu wala rushwa na wezi wa mali za umma + wauza madawa nk utawashughulikia kimama kwa kuwalealea wataacha...hizi hela za miradi bila kuwa kiongozi mkorofi unafikiri miradi itakwenda...

Bado Watanzania wako kwenye stage ya mijeledi na kuswagwa..
Nchi hii ina wajinga wengi sana. Sijui shule ulienda kusomea ujinga!
 
Tz kuja kupata Raisi kama JK ambaye ni diplomat mzalendo na Raisi mstarabu itachukua mda, watu wa lijivunia kua Watanzania dimikurasia na Utawaala wa sharia kwa angalau asilimia kubwa ulionekana, Kosa la JK ambalo citakuja kumsahau ni kutuletea huyu JPM wake uncivilised man, katurudisha nyuma miaka kama 20 na chief Hangaya ameanza kumiiga huo buana.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Unatumia msingi gani?

Ukisoma maandiko, Nabii Musa alikuwa mkuu wa kiroho (dini) na siasa pia. Hakuwa na bosi ila Mungu mwenyewe

Ilikuwa hivyo hivyo kwenye tawala za manabii Joshua, Daudi, Samweli, Suleiman, nk
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kweli we ni shetani
 
Mkumbaff mkubwa. Unanijua vizuri kusema eti sina elimu mbwakoko wee. Nijenge hoja gani wakati huna hoja yoyote ya kutolea hoja wala kutumia akili?
Akhsante sana kwa kututhibitishia kuwa huna elimu, huna busara, huna hata "common sense" ya kujua jema na baya la kuandika hadharani.
Matusi ni kwa vilaza na wenye matatizo ya kiakili, kiroho, kielimu, kijamii na kimaisha.
 
Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:

View attachment 1983684

View attachment 1983686

View attachment 1983687

Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:

View attachment 1983688

Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Baba askofu ubarikiwe saaana wambea wamemchafua saana kikwete kuhusika na matendo ya awamu ya 6
 
Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:

View attachment 1983684

View attachment 1983686

View attachment 1983687

Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:

View attachment 1983688

Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo sasa hivi mnakili kwamba selikali hii inaongozwa na sukuma gang tena?
Wewe shule ulienda kweli na kuelimika.
Matamshi ndiyo yana shida ya "r" na "l".
Unaposhindwa kutofautisha "r" na "l" kwenye maandishi,naamini hii ni "ukilaza" uliopindukia.
Mnakili = X
Mnakiri =✓
Selikali = X
Serikali =✓
FaizaFoxy njoo tafadhali utufunde.
 
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere

Kamwulize Chief Hangaya au Mulamula kukupa mrejesho 😁😁
 
Swali fikirishi hivi Katiba ya Tanzania inasemaje kuhusu awamu za viongozi wakuu wa nchi hivi wote hatuna akili timamu kuweza kutambua maana ya awamu za viongozi wa kuu wa nchi ya Tanzania Nadhani awamu hutokana na uchaguzi mkuu sasabasi iwe hivi:Ya awamu ya 4, ilihakikisha umoja wa kitaifa unakua
awamu ya 5, ya Rais wa 6 vyama vya siasa havikutani kujadili mambo ya kitaifa badala yake msajili wa vyama na polisi walikutana, ndiyo wasemaji wa vyama vya siasa ,hakuna kuimarisha ama kujenga umoja wa kitaifa
Tumia basi akili kidogo- wewe unataka kutumia uchaguzi mkuu kuamua awamu- Nyerere unampa awamu ngapi?
 
Wewe shule ulienda kweli na kuelimika.
Matamshi ndiyo yana shida ya "r" na "l".
Unaposhindwa kutofautisha "r" na "l" kwenye maandishi,naamini hii ni "ukilaza" uliopindukia.
Mnakili = X
Mnakiri =✓
Selikali = X
Serikali =✓
FaizaFoxy njoo tafadhali utufunde.
Libavicha bhana!

Kwa hiyo tuko hapa kujifunza lugha?

Nenda kafungue darasa
 
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere
Tumia akili mama amtoka kwenye ma NGo kwa nature ni watu ambao wanapenda kuji afflict na Western ili wapate misaada ndo mana serikali yake IPO attention kuvuta ushirikiano na mabeberu.

Ndo hapo wambea mnaanza kusema anaendeshwa na JK, lakini hapana ni ile anajikuta wanafanana na JK kwenye mambo ya kutegemea Western lakini style ya uongozi anaiga ya mwendazake.

Hivo msilazimishe vitu havipo mzigo wa mama aubebe mwenyewe mzee wa msoga asibebeshwe lands kufananishwa tuu kwenye kupenda kusafiri
 
Back
Top Bottom