Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Huyo mtu wakutuswaga hivyo atapatikana vip?.Ndo maana wenye akili wanataka katiba mpya yenye ubora utakao weka mifumo thabiti yakuongoza nchi kwenye kila nyanja badala yakutegemea mtu ambaye ata akipatikana bado atapita uku nchi ikiendelea kuwepo.
Kabisa asee
 
Stupid comment!

Utakuta na wewe una mke na watoto...pole yao kwa kuzaliwa na kilaza.
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana. Sijui shule ulienda kusomea ujinga!
 
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Unatumia msingi gani?

Ukisoma maandiko, Nabii Musa alikuwa mkuu wa kiroho (dini) na siasa pia. Hakuwa na bosi ila Mungu mwenyewe

Ilikuwa hivyo hivyo kwenye tawala za manabii Joshua, Daudi, Samweli, Suleiman, nk
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kweli we ni shetani
 
Mkumbaff mkubwa. Unanijua vizuri kusema eti sina elimu mbwakoko wee. Nijenge hoja gani wakati huna hoja yoyote ya kutolea hoja wala kutumia akili?
Akhsante sana kwa kututhibitishia kuwa huna elimu, huna busara, huna hata "common sense" ya kujua jema na baya la kuandika hadharani.
Matusi ni kwa vilaza na wenye matatizo ya kiakili, kiroho, kielimu, kijamii na kimaisha.
 
Baba askofu ubarikiwe saaana wambea wamemchafua saana kikwete kuhusika na matendo ya awamu ya 6
 
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo sasa hivi mnakili kwamba selikali hii inaongozwa na sukuma gang tena?
Wewe shule ulienda kweli na kuelimika.
Matamshi ndiyo yana shida ya "r" na "l".
Unaposhindwa kutofautisha "r" na "l" kwenye maandishi,naamini hii ni "ukilaza" uliopindukia.
Mnakili = X
Mnakiri =βœ“
Selikali = X
Serikali =βœ“
FaizaFoxy njoo tafadhali utufunde.
 
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere

Kamwulize Chief Hangaya au Mulamula kukupa mrejesho 😁😁
 
Tumia basi akili kidogo- wewe unataka kutumia uchaguzi mkuu kuamua awamu- Nyerere unampa awamu ngapi?
 
Libavicha bhana!

Kwa hiyo tuko hapa kujifunza lugha?

Nenda kafungue darasa
 
Yaani hapo ndo kasema nini. Kwani ushawishi lazima ufanye kila kitu. Mbona inaonekana wazi kabisa. Huhitaji PhD kuona kuwa mama hana maamuzi bali from somewhere
Tumia akili mama amtoka kwenye ma NGo kwa nature ni watu ambao wanapenda kuji afflict na Western ili wapate misaada ndo mana serikali yake IPO attention kuvuta ushirikiano na mabeberu.

Ndo hapo wambea mnaanza kusema anaendeshwa na JK, lakini hapana ni ile anajikuta wanafanana na JK kwenye mambo ya kutegemea Western lakini style ya uongozi anaiga ya mwendazake.

Hivo msilazimishe vitu havipo mzigo wa mama aubebe mwenyewe mzee wa msoga asibebeshwe lands kufananishwa tuu kwenye kupenda kusafiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…