Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Mtu ambaye hawezi kutofautisha kimaamdishi kati ya "r" na "l", huyo anapata wapi uhalali wa kujadiliana na waerevu humu jukwaani!?Libavicha bhana!
Kwa hiyo tuko hapa kujifunza lugha?
Nenda kafungue darasa
Nenda kafungue darasa ufundishe usitupigie kelele hapaMtu ambaye hawezi kutofautisha kimaamdishi kati ya "r" na "l", huyo anapata wapi uhalali wa kujadiliana na waerevu humu jukwaani!?
Halafu mimi nilikuwepo duniani tangu miaka ya 1960, hivyo mimi si Bavicha kama ambavyo MaCCM mnavyopenda kujirudisha nyuma umri wenu.
JK alivumilia mengiManeno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
JK alivumilia mengi
Sahihi mkuuJK alikuwa kiongozi. Sifa za kiongozi ni kuwa na ngozi ngumu. Kinyume cha hapo haufai.
Shikamoo JK.
Nimeandika hoja ya kumhamasisha kamanda baba askofu Bagonza afikirie kuchukua fomu ya kugombea ubunge 2025 huko Kagera ili kuipa nguvu chadema. Ccm wana askofu Gwajima, chadema itakuwa na skofu Bagonza bungeni: ngoma droo!Ukweli mchungu, nyie ndio huwa mnapiga kelele za hoja kwa hoja, hapo sijui umeandika hoja ya kikwenu.
Hamjielewi wacheni kelele zenu, Bagonza hajasema popote anataka jimbo, jibuni hoja zake full stop.Nimeandika hoja ya kumhamasisha kamanda baba askofu Bagonza afikirie kuchukua fomu ya kugombea ubunge 2025 huko Kagera ili kuipa nguvu chadema. Ccm wana askofu Gwajima, chadema itakuwa na skofu Bagonza bungeni: ngoma droo!
Mkuu, chadema inahitaji wanasiasa wanaojenga hoja, kama Askofu Bagonza, ili kurudisha hadhi yakeHamjielewi wacheni kelele zenu, Bagonza hajasema popote anataka jimbo, jibuni hoja zake full stop.
awamu ya sita ni UTOPOLO WA SHETANI JIKEManeno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
CCM ANAYEJENGA HOJA NI NANIMkuu, chadema inahitaji wanasiasa wanaojenga hoja, kama Askofu Bagonza, ili kurudisha hadhi yake
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Maaskofu wanachama wa Chadema yaani wenye political ideology ya CHADEMA, wengi akili zimefyatuka, sijasikia hata mmoja akitaja jina Yesu, wamesahau hata mwelekeo wao, wamebakia siasa kutwa kucha.
Dini na siasa, ni kama mafuta na maji, ukitaka kuzichanganya, utachangayikiwa wewe.
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kikwete alijitahidi sana kujikomba kwa wapinzani Hadi kuwa anawaalika kunywa chai na vitafunwa ikulu lakini malipo upinzani waliyomlipa ni matusi kutwa kuwa ni Raisi dhaifu kuwahi tokea Tanzania ni mpole mno na kazi yake kucheka cheka tu
Wakafikia hatua Hadi ya kumwita Vasco da Gama kuwa sijui kala miguu ya kuku ndio maana hatulii nchini kutwa kusafiri wakasema Raisi hatakiwi kuwa mtu mpole na wa kucheka cheka.Ok Mungu akaona na akasikia na CCM tukasikia kilio chao Cha kutaka Raisi Mkali asiyecheka cheka na asiye mpole.Naona Sasa Askofu wa Chadema Bagonza na Chadema mnamwamkia Shikamoo Kikwete baada ya kushikishwa adabu na Marehemu Magufuli.
Haya Bagonza na Chadema niwaulize swali mnataka Raisi mpole na anayecheka cheka au Bado mko msimamo ule ule mliokuwa nao kabla Magufuli kuingia kuwa mnataka Raisi serious,Mkali asiyecheka cheka?
Kikwete pokea Shikamoo kutoka kwa Askofu Bagonza na Chadema .Usisite kuwajibu marahaba walishanyooka hao.Hata ulipohutubia kuwa huyu anayekuja sio mpole walizomea na kusema kwenda zako huko Hadi humu wakaandika Siku ukiondoka watafanya sherehe Leo wanalia Lia ohh Kikwete the best!!!!
Sasa Askofu Bagonza nenda kaungame dhambi kwa Kikwete mwende na Chadema wenzio na kabla ya kuungama dhambi mwamkieni kwanza Shikamoo
Fungua akili uelewe hayo maandiko! Ukiyachukua jumla jumla hivyo utapotosha!Ilisemwa ya Kaisari mpe kaisari ya Mungu mpe Mungu. Fullstop.
Kwa hiyo wewe hutaki chadema iwe na wajenga hoja kama askofu Bagonza kwa kuwa ccm hakuna anayejenga hoja? Mboni mi sikuelwi njomba!CCM ANAYEJENGA HOJA NI NANI