Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.


makanisa mengi sana saaahv yameingiliwa na siasa, hata mahubiri mazima ni siasa au wanawake!
 
Libavicha bhana!

Kwa hiyo tuko hapa kujifunza lugha?

Nenda kafungue darasa
Mtu ambaye hawezi kutofautisha kimaamdishi kati ya "r" na "l", huyo anapata wapi uhalali wa kujadiliana na waerevu humu jukwaani!?
Halafu mimi nilikuwepo duniani tangu miaka ya 1960, hivyo mimi si Bavicha kama ambavyo MaCCM mnavyopenda kujirudisha nyuma umri wenu.
 
Mtu ambaye hawezi kutofautisha kimaamdishi kati ya "r" na "l", huyo anapata wapi uhalali wa kujadiliana na waerevu humu jukwaani!?
Halafu mimi nilikuwepo duniani tangu miaka ya 1960, hivyo mimi si Bavicha kama ambavyo MaCCM mnavyopenda kujirudisha nyuma umri wenu.
Nenda kafungue darasa ufundishe usitupigie kelele hapa
 
Ukweli mchungu, nyie ndio huwa mnapiga kelele za hoja kwa hoja, hapo sijui umeandika hoja ya kikwenu.
Nimeandika hoja ya kumhamasisha kamanda baba askofu Bagonza afikirie kuchukua fomu ya kugombea ubunge 2025 huko Kagera ili kuipa nguvu chadema. Ccm wana askofu Gwajima, chadema itakuwa na skofu Bagonza bungeni: ngoma droo!
 
Nimeandika hoja ya kumhamasisha kamanda baba askofu Bagonza afikirie kuchukua fomu ya kugombea ubunge 2025 huko Kagera ili kuipa nguvu chadema. Ccm wana askofu Gwajima, chadema itakuwa na skofu Bagonza bungeni: ngoma droo!
Hamjielewi wacheni kelele zenu, Bagonza hajasema popote anataka jimbo, jibuni hoja zake full stop.
 
Ni zuzu tu anayetenganisha din na siasa
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
 
Maaskofu wanachama wa Chadema yaani wenye political ideology ya CHADEMA, wengi akili zimefyatuka, sijasikia hata mmoja akitaja jina Yesu, wamesahau hata mwelekeo wao, wamebakia siasa kutwa kucha.

Dini na siasa, ni kama mafuta na maji, ukitaka kuzichanganya, utachangayikiwa wewe.
 
Maaskofu wanachama wa Chadema yaani wenye political ideology ya CHADEMA, wengi akili zimefyatuka, sijasikia hata mmoja akitaja jina Yesu, wamesahau hata mwelekeo wao, wamebakia siasa kutwa kucha.

Dini na siasa, ni kama mafuta na maji, ukitaka kuzichanganya, utachangayikiwa wewe.

Badili avatar mkuu unainajisi image ya hiyo picha
 
Gwajiboi je?
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
 
Wewe na mama D mnafanana sana, kama bibi na bwana.
Kikwete alijitahidi sana kujikomba kwa wapinzani Hadi kuwa anawaalika kunywa chai na vitafunwa ikulu lakini malipo upinzani waliyomlipa ni matusi kutwa kuwa ni Raisi dhaifu kuwahi tokea Tanzania ni mpole mno na kazi yake kucheka cheka tu

Wakafikia hatua Hadi ya kumwita Vasco da Gama kuwa sijui kala miguu ya kuku ndio maana hatulii nchini kutwa kusafiri wakasema Raisi hatakiwi kuwa mtu mpole na wa kucheka cheka.Ok Mungu akaona na akasikia na CCM tukasikia kilio chao Cha kutaka Raisi Mkali asiyecheka cheka na asiye mpole.Naona Sasa Askofu wa Chadema Bagonza na Chadema mnamwamkia Shikamoo Kikwete baada ya kushikishwa adabu na Marehemu Magufuli.

Haya Bagonza na Chadema niwaulize swali mnataka Raisi mpole na anayecheka cheka au Bado mko msimamo ule ule mliokuwa nao kabla Magufuli kuingia kuwa mnataka Raisi serious,Mkali asiyecheka cheka?

Kikwete pokea Shikamoo kutoka kwa Askofu Bagonza na Chadema .Usisite kuwajibu marahaba walishanyooka hao.Hata ulipohutubia kuwa huyu anayekuja sio mpole walizomea na kusema kwenda zako huko Hadi humu wakaandika Siku ukiondoka watafanya sherehe Leo wanalia Lia ohh Kikwete the best!!!!

Sasa Askofu Bagonza nenda kaungame dhambi kwa Kikwete mwende na Chadema wenzio na kabla ya kuungama dhambi mwamkieni kwanza Shikamoo
 
Ilisemwa ya Kaisari mpe kaisari ya Mungu mpe Mungu. Fullstop.
Fungua akili uelewe hayo maandiko! Ukiyachukua jumla jumla hivyo utapotosha!
Yesu, mitume na manabii wasijishughulisha kuwanyoosha na kuwaambia ukweli wanasiasa na watawala!
 
Back
Top Bottom