stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
makanisa mengi sana saaahv yameingiliwa na siasa, hata mahubiri mazima ni siasa au wanawake!