Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Kaandaa mkutano mkuu wa FIFA nchini mwake mwaka jana, unajua mkutano ule unaiingizia mangapi Rwanda?.Kagame sio wa kumtolea mfano wa Viongozi bora ni Mkabila sana ameshatangaza kuwa atagombea tena Urais mwakani..
GwajimaRwakatare alikuwa kiongozi wa kanisa na aligombea ubunge viti maalum ccm na alipata na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa
Mwamposa alipewa ubunge wa Kawe akiwa kiongozi wa kanisa, na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa.
Hii imekaaje?
Hahahaaa, sasa anapompa kaisari anayostahili mbona anasakamwa? Au wewe umeelewa kuwa wapo watu maalumu wa kumpa kaisari na wapo wengine maalum wa kumpa Mungu?Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Kaongea kwa weledi na usahihi mnoAskofu ni msomi anawapa miguu ya kisomi wanatulia kimya tuu...
What is wrong kama watu wake kupitia katiba yao inamruhusu? Waachwe wanyarwanda waamue wenyewe nani awatawale!! He is a benevolent dictator which his better for Rwanda than other options!Kagame sio wa kumtolea mfano wa Viongozi bora ni Mkabila sana ameshatangaza kuwa atagombea tena Urais mwakani..
Sawa Mkuu katiba yenu inaruhusu wacha nijadili mafuta ya Tanzania.What is wrong kama watu wake kupitia katiba yao inamruhusu? Waachwe wanyarwanda waamue wenyewe nani awatawale!! He is a benevolent dictator which his better for Rwanda than other options!
Umesoma ila hujaelewa,rudia kusoma mara nyingi zaidi utamuelewa Askofu Bagonza, otherwise shuleni ulienda kusomea ujingaLabda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Mpotoshaji mkubwa, si umuulize Katekista maana ya fungu Hilo kuliko kubwabwaja?Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
CCM imefilisika ndo maana inaokoteza vikongwe kuwapa vyeo vya juuDkt.Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."
Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -
Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza
"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanga Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimamntiki?" -Askofu Dkt. Bagonza.
Mbona Gwajima mpo naye huko CCM lakini hamsemi aache madhabahu? Au akiwa anaiunga mkono CCM hana haja ya kutoka nje ya madhabahu lakini akihoji Serikali anatakiwa aachane na madhabahu Kwa sababu ni kuchanganya Dini na siasa? Hivi hamwonagi aibu kutetea ujinga?Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Uko kwenye blanket wwLabda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Weledi mkubwa mno
Sio kwamba Askofu anatamani siasa, bali wewe na watu wa namna yako, ama ni watu wanafiki au mmekosa uelewa wa maana ya siasa.Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Kuelewa maandiko matakatifu ni kazi sana ndugu yangu.hoja imekaa vzr sana kutoka kwa Askofu Bagonza isipokuwa watu Wana uwezo mdogo sana wa kuelewa.Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Hakutetereka...!!!During the hegemony of his Eminence, John Pombe Magufuli Bagonza alisimama kidete..... namkubali sana huyu mzee.
Si bora angesomea ujinga, huyo shule alienda kuongeza idadi ya watoro tu, wazazi wake wanajua ng'ombe yupo shule kumbe ng'ombe nae katoroka kaenda kubaka panzi.Umesoma ila hujaelewa,rudia kusoma mara nyingi zaidi utamuelewa Askofu Bagonza, otherwise shuleni ulienda kusomea ujinga
Na muhuni mkuu ndiye alionya dini na siasa zisichanganyweHuyu Mwamba anaubongo mwingi sana, nivile tu Nchi inaendeshwa na wahuni.
Acha kula ugoro sio mzuri kwa afya ya akiliLabda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”