Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu sio mwamposa ni gwajima
 
Huyu mpigaji tu. Ameenda ROMA ati kumsindikiza Cardnal Pengo kwa kisingizio kuwa ni MKARAGWE MWENZAKE.
 

Ukimwangalia Kagame kwa karibu kabisa si kiongozi bora hata koidogo.Kagame ni mfano wa kiongozi wa hovyo kabisa.Kagame anaamini katika kutawala yeye na si mtu mwingine.
Kagame ni mkabila upitiliza.
Kagame kawafanya wanyarwanda wote mazuzu.
 
Ukimwangalia Kagame kwa karibu kabisa si kiongozi bora hata koidogo.Kagame ni mfano wa kiongozi wa hovyo kabisa.Kagame anaamini katika kutawala yeye na si mtu mwingine.
Kagame ni mkabila upitiliza.
Kagame kawafanya wanyarwanda wote mazuzu.
Tanzania tuna demokrasia kwa wingi sana kipi cha maana tumeweza kufanya zaidi ya kila mtu kuishia kuongea maneno meengi ya malalamiko?.
 
Usipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.
Unaelewa maana ya siasa? Eleza japo kwa sentensi moja.
 
Hujajibu hoja zake hata moja. Ya Kaisari mpe Kaisari nayo hujaipatia tafsiri yake, mfano kusimamia uchaguzi ni jukumu la serikali, dini ni wapiga kura tu hawasimamii, hapo ndio ya Kaisari umumpa Kaisari, lakini kujenga hospital ni jukumu la serikali na dini, hapo hakuna Cha Kaisari mpe Kaisari.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine huwa tunafanya marejeo ya mistari ya biblia bila kujua ni nini kililengwa
 
Hujui mandiko wewe nyamaza!

Kwa kifupi sana nisikie!

Watu wale wale wa Dini, wanapokuwa kwenye uwanja wa Kaisali, kaisali apewe vyake, na wanapokuwa kwenye uwanja wa Dini, heshima iende kwa Mungu!

Umejifunza nini hapo?
 
Hujui mandiko wewe nyamaza!

Kwa kifupi sana nisikie!

Watu wale wale wa Dini, wanapokuwa kwenye uwanja wa Kaisali, kaisali apewe vyake, na wanapokuwa kwenye uwanja wa Dini, heshima iende kwa Mungu!

Umejifunza nini hapo?
Unakurupuka kujibu wakati wewe ni mbumbumbu wa kuandika. Hakuna mtu kwenye Biblia anaitwa Kaisali. Labda huyo Kaisali ni wa kijijini kwenu
 
Askofu tutu wetu wa bongo huyo

Natamani siku aingie bungeni
 
Shule si ni Biashara tu kama biashara nyingine. kwani wanasoma bure kwenye hizo shule.
 
Unakurupuka kujibu wakati wewe ni mbumbumbu wa kuandika. Hakuna mtu kwenye Biblia anaitwa Kaisali. Labda huyo Kaisali ni wa kijijini kwenu
Ume quote mandiko ya mtu mbumbu?? Wewe ni mjinga sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…