Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dini na sasa ni sawa na vilevi vya akili ( vyote ni vilevi) vinatumika kughilibu akili za watu....
 
Rwakatare alikuwa kiongozi wa kanisa na aligombea ubunge viti maalum ccm na alipata na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa
Mwamposa alipewa ubunge wa Kawe akiwa kiongozi wa kanisa, na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa.
Hii imekaaje?
Mmmh...Mwamposa au Gwajima?
 
What is wrong kama watu wake kupitia katiba yao inamruhusu? Waachwe wanyarwanda waamue wenyewe nani awatawale!! He is a benevolent dictator which his better for Rwanda than other options!
Which,basi sawa.
 
Wee mpuuzi wa kiwango cha juu, vipi kuhusu Askofu Gwajima unamwambiaje au kwa kuwa ni CCM
Gwajima ashughulikiwe kama Gwajima, hapa ilikuwa ni Askofu Bagonza. Elewa hivyo kenge wee
 
Gwajima ashughulikiwe kama Gwajima, hapa ilikuwa ni Askofu Bagonza. Elewa hivyo kenge wee
Wewe ni kichwa maji Ndiyo maana hata wanaccm wenzako wenye akili wameakaa kimya.

Unamshughulikia Bagonza kwa kosa gani au kwa ujinga wako, sheria ipi, kanuni ipi, inayomkataza kuwa asizungumzie siasa. Au ni umbumbumbu wako tu. Nenda shule nafasi bado zipo.
 
Wewe ni kichwa maji Ndiyo maana hata wanaccm wenzako wenye akili wameakaa kimya.

Unamshughulikia Bagonza kwa kosa gani au kwa ujinga wako, sheria ipi, kanuni ipi, inayomkataza kuwa asizungumzie siasa. Au ni umbumbumbu wako tu. Nenda shule nafasi bado zipo.
Ya kanisani yamemshinda. Nataka afanye kazi yake ya kiroho. Makanisa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani
 
Ya kanisani yamemshinda. Nataka afanye kazi yake ya kiroho. Makanisa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani
Wewe unamtaka kama nani ktk kanisa, na je amevunja kanuni ipi ya kanisa? Ndiyo maana tunakwambia wewe hauko Sawa kichwani.
 
Serikali makini isiyo na upigaji ya Rwanda imeweka taratibu halali kabisa za kielimu za nani anayefaa kuwa na kanisa na nani asiyefaa, Kagame anajiamini katika ufanisi wa utendaji kazi wa serikali yake na anakuwa na jeuri ya kuwawekea mipaka viongozi wa dini akijijua kuwa anao uwezo wa kutimiza wajibu wake.

Hapa Tanzania bado kuna ombwe la ufanisi wa serikali yetu upigaji ni mwingi sana na hiyo ni fursa ya viongozi wa dini kujihusisha na masuala mengi ya kijamii na mwishoni wanajiona wanayo haki ya msingi ya kushiriki maendeleo ya kila siku ya watu wanaosali makanisani mwao.


Kagame kuweza kuwa na sauti ya mwisho kwa taasisi za kidini ni kuona mbali kunakotokana na utashi wake wa kushughulika na masuala ya kijamii kuwa mkubwa na wa dhati kuliko walionao viongozi wetu.

Hata huo waraka uliosambazwa na maaskofu ni kwa sababu wanajua kuna ombwe katika ufanisi mzima wa kiserikali, wanatumia ushawishi wao wa kiroho walionao mbele ya waumini wakijua ubovu wa jamii zetu za kitanzania.

Tumejenga jamii ya hovyo sana na maaskofu wetu wanautumia ubovu huo kwa kuimarisha ushawishi wanaokuwa nao maishani mwetu.
Ndeeefu ila ni upuuzi mtupu
 
Usipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.
Waambiwe kina Gwajima kwanza manake ndiyo direct wanachanganya dini na siasa direct then waje hawa👇
Screenshot_20241129-140243.jpg
 
Back
Top Bottom