Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Siku zote BAGONZA ni mnafiki sana!

Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm! [emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.

Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.

Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!

Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.

Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?

Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
 
Wakati tukitafakari Taifa letu linavyopotea, ni vema tuungane na wanaofunga Novena ili:

1) Mungu atujalie kuupata uongozi mzuri

2) Mungu atujalie hekima ya kuamua tunachotaka kukifanya na aweke baraka zake katika hilo

3) Mungu awakokomboe Watanzania, sawa na alivyowatoa kwa mkono wenye nguvu wana wa Israel kutoka utumwani Misri

4) Mungu atupe ujasiri wa kuinena iliyo kweli na haki bila ya unafiki wala hila.
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Mwombe Mungu akuondolee kilichopungua akilini na moyoni mwako. Walio kamili wanajadili hoja, hawatusi, hawabwabwaji wala kuropoka.
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Ni mpuuzi tu na mpumbavu asiyetaka kuona mambo kwa mapana! Siku zote akiona mfumo unasahihishwa anakunya uharo mchafu wenye harufu mbaya kama huyu hapa (kama ni binadamu lakini)
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Duu umesema ukweli mkuu. Ila nakuona umeelemea Sana kwa Mbowe.
Huyo jamaa ni particle tu ndogo sio kuwa maisha yetu hayataenda bila mbowe.
Mbona watu ni wengi wamebambikiziwa kesi ndugu.

Ningependa ukajikita katika mfumo wa uongozi na katiba mpaya.
Ila inaonekana unateseka na Mbowe ama lisu ama jpm.

Iko ivi usijione kuwa u Bora kuliko wengine ama u dhaifu kuliko wengine.

Ukiwa kiongozi sio kuwa una akili unaowaongoza ndugu. Elewa ilo.
Yaani Taifa tuache kufanye Mambo ya msingi tuanze kumuwazia mbowe.
Mbona watu ni wengi waliokamatwa.
Lisu kupigwa na je akwilina aliyekuwa vipi.
Damu zetu ziko sawa
 
Siku zote BAGONZA ni mnafiki sana!

Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm! [emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.

Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.

Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!

Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.

Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?

Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
Toa hoja kama mtu mwenye uelewa. Umeuliza maswali ya ujinga mtupu. Eti wakati Mwigulu anasoma mswada wa kuweka tozo kwenye miamala, kwa nini Askofu hakukemea! Loh! Hivi wewe mzima? Wale wanaojiita wabunge, kazi yao ni nini? Nani alijua kuwa hao wanaoitwa wabunge, kumbe yote ni mizoga? Kuna mtu alijua kuwa hayo yanayojiita wabunge, yangekaa kimya na kupitisha tozo hizo gandamizi? Au siku hizi hoja ikipelekwa Bungeni, tunatakiwa tuanze kuijadili ja kuitolea maamuzi huku nje ya bunge?

Tumieni akili mlizopewa na Mungu katika uadilifu kuliko uhalifu.
 
Tumia akili japo kidogo Iboya2021 . Huyu ana PhD ya uhakika ya mambo ya dini.

Tang miaka ya mitume watawala huonywa na viongozi wa kiimani wanapopotoka. Katika hoja zako umekuwa ukiwataja Cdm as if hawana haki ya kudai haki za msingi eg. Katiba mpya au hata mwenyekiti wao kutendewa haki !!!.

Tumia akili vizuri
Ukiukuta ujumbe wa iboya usisumbuke kujibu Mara mbili,his/her level of understanding is very low.
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao....
Mods,Mimi mlinipiga kwa kutumia neno uharo,tafadhari huyu msimwache.

Nikiona post yake tena nitajua mnaupendele.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao...
Kwa mtu unayetumia njia yako ya haja kubwa kufikiri huwezi kumuelewa utaishia kuporomosha matusi kama mlivyofundishwa na yule aliyeko jehanam sasa
 
Askofu atuandikie kitabu cha HAKI.
Aseme tumrushie hela ya uzalendo ili kufanikisha kitabu.
Michango ikimiminika msituandame
 
Kwa mtu unayetumia njia yako ya haja kubwa kufikiri huwezi kumuelewa utaishia kuporomosha matusi kama mlivyofundishwa na yule aliyeko jehanam sasa
Watu MNA PhD ya mitusi,ila kwa iboya ni saizi yake
 
Back
Top Bottom