IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Siku zote BAGONZA ni mnafiki sana!
Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm! [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.
Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.
Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!
Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.
Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?
Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm! [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.
Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.
Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!
Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.
Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?
Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?