Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Kwa mtu unayetumia njia yako ya haja kubwa kufikiri huwezi kumuelewa utaishia kuporomosha matusi kama mlivyofundishwa na yule aliyeko jehanam sasa
SIWEZI KUBISHANA NA MTU ANAYETUMIA SEHEMU YAKE YA HAJA KUBWA KUINGILIWA NA WANAUME WEWE NI SHOGA TU
 
Duu umesema ukweli mkuu. Ila nakuona umeelemea Sana kwa Mbowe.
Huyo jamaa ni particle tu ndogo sio kuwa maisha yetu hayataenda bila mbowe.
Mbona watu ni wengi wamebambikiziwa kesi ndugu.

Ningependa ukajikita katika mfumo wa uongozi na katiba mpaya.
Ila inaonekana unateseka na Mbowe ama lisu ama jpm.

Iko ivi usijione kuwa u Bora kuliko wengine ama u dhaifu kuliko wengine.

Ukiwa kiongozi sio kuwa una akili unaowaongoza ndugu. Elewa ilo.
Yaani Taifa tuache kufanye Mambo ya msingi tuanze kumuwazia mbowe.
Mbona watu ni wengi waliokamatwa.
Lisu kupigwa na je akwilina aliyekuwa vipi.
Damu zetu ziko sawa
Wewe ni mpuuzi kabisa . Yaani mwenziyo kubambikwa kesi wewe unachukulia poa !!. Wenziyo kutandikwa risasi za bila mpango kwako ni poa !!

Umepungukiwa hekima kama siyo akili . Wafuasi wa watawala mnatia kinyaa
 
Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Hapa ndipo Askofu Bagonza na Askofu Mwamakula wanapochemka.

Hao vijana wameonekana wanasali ktk Kanisa la KKKT.

Mwamakula ameandila Novena yenye kibwagizo "Mwanakondoo Ameshinda" kama kwamba Chadema ni ya Wakristo pekee.

Sasa CHADEMA maana yake ni "Chama cha Demokrasia na Mwanakondoo Ameshinda."

Sheria ya vyama vya siasa inakataza vyama vya kidini.

Chama hiki kitafutwa kwa sababu hii, pamoja na ile nyingine.

Nafanya unabii tu.
 
Hapa ndipo Askofu Bagonza na Askofu Mwamakula wanapochemka.

Hao vijana wameonekana wanasali ktk Kanisa la KKKT.

Mwamakula ameandila Novena yenye kibwagizo "Mwanakondoo Ameshinda" kama kwamba Chadema ni ya Wakristo pekee.

Sasa CHADEMA maana yake ni "Chama cha Demokrasia na Mwanakondoo Ameshinda."

Sheria ya vyama vya siasa inakataza vyama vya kidini.

Chama hiki kitafutwa kwa sababu hii, pamoja na ile nyingine.

Nafanya unabii tu.
Kila mtu aliyeguswa anasali kwa imani yake

Kama viongozi huwa wanawaambia watu wawaombee, siyo mbaya hata wapinzani nao kuombewa.

Kuombea mtu dua siyo kinyume cha sheria.

Wakiifuta Chadema napo pia tutawashitaki kwa Mungu
 
Hapa ndipo Askofu Bagonza na Askofu Mwamakula wanapochemka.

Hao vijana wameonekana wanasali ktk Kanisa la KKKT.

Mwamakula ameandila Novena yenye kibwagizo "Mwanakondoo Ameshinda" kama kwamba Chadema ni ya Wakristo pekee.

Sasa CHADEMA maana yake ni "Chama cha Demokrasia na Mwanakondoo Ameshinda."

Sheria ya vyama vya siasa inakataza vyama vya kidini.

Chama hiki kitafutwa kwa sababu hii, pamoja na ile nyingine.

Nafanya unabii tu.
Mama Amon. Nawe umechemka .

Yaani hukuona hoja hapo mpaka ukimbilie udini ?! Hoja za tozo na ubambikaji vyesi hujaziona isipokuwa umeuona udini !!.
Usomi hauna maana Tz kama mnatumika vibaya hivi.

Cdm hata ikifutwa haina maana wananchi 100% wataiunga mkono Ccm . Zaidi zaidi ni kuizidishia chuki kwa wananchi
 
Kila mtu aliyeguswa anasali kwa imani yake

Kama viongozi huwa wanawaambia watu wawaombee, siyo mbaya hata wapinzani nao kuombewa.

Kuombea mtu dua siyo kinyume cha sheria.

Wakiifuta Chadema napo pia tutawashitaki kwa Mungu
Hofu: Religion is a double agent of good and evil.
 
Yaani hukuona hoja hapo mpaka ukimbilie udini ?! Hoja za tozo na ubambikaji vyesi hujaziona isipokuwa umeuona udini !!.
Katika masuala ambayo Bagonza anayatumia kisiasa ni tozo za miamala ya simu.
He is misdirecting himself intentionally.
Nimesoma maandiko yake yote juu ya jambo hili.
Nimemsikiliza MariaSpaces
Na hatimaye naona ni under-informed kuhusu jambo hili.
Hana hoja zaidi ya kuchonganisha kambi hasimu.
Hayo ndiyo maoni yangu kwako.
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
 
Hata watawala huombewa
Mingu hana monopoly, kila mtu aombe
Mungu yupi hana monopoly? Unajingishwa na unakubali vipi wakati una akili timamu?

Data muhimu:

According to the Principle of the Dissimilarity of the Diverse, as McTaggart called it,: if x and y are distinct then there is at least one property that x has and y does not, or vice versa.

Yaani, kwa vile mungu yuko sehemu zote, ndani na nje ya miili yetu, kila tunachokifanya, naye pia anafanya. Kwa sababu hii tunaweza kuona utofauti wa miungu kirahisi kama ifuatavyo:


  1. Mungu anayekula kiti moto sio mungu asiyekula
  2. Mungu anayevaa kondomu sio mungu asiye vaa
  3. Mungu anayetaka kuabudiwa Ijumaa sio mungu asiyetaka
  4. Mungu anayetaka kuabudiwa Jumamosi sio mungu asiyetaka
  5. Mungu anayetaka kuabudiwa Jumapili sio mungu asiyetaka
  6. Mungu mwenye nafsi tatu sio mungu mwenye nafsi moja
  7. Mungu mwenye mwili sio mungu asiye na mwili.
  8. Mungu anayeoa mke mmoja sio mungu anayeoa watano.
Kwa hiyo:
  1. Mungu wa Wakatoliki sio Mungu wa Walutheri
  2. Mungu wa Walutheri sio Mungu wa Waanglikana
  3. Mungu wa Wakristo sio Mungu wa Waislamu
  4. Mungu wa Wasabato sio Mungu wa Wapentekoste

Mwisho:

Mtu akikwambia jambo la kipumbavu, wakati anajua kwamba ni jambo la kipumbavu, na akiwa anafahamu kuwa unajua kuwa ni jambo la kipumbavu, lakini bado ukalikubali, atakudharau kwa sababu unajidharau.

Hivyo, linda heshima yako kwa kukataa kujingishwa, kupinga kupumbazwa na viongozi wa dini.
 
Katika masuala ambayo Bagonza anayatumia kisiasa ni tozo za miamala ya simu.
He is misdirecting himself intentionally.
Nimesoma maandiko yake yote juu ya jambo hili.
Nimemsikiliza MariaSpaces
Na hatimaye naona ni under-informed kuhusu jambo hili.
Hana hoja zaidi ya kuchonganisha kambi hasimu.
Hayo ndiyo maoni yangu kwako.
Mama Amon.
Acheni watu waongee . Tusiwe taifa la kubana wananchi kutoa hisia zao. U communist zama hizi haulipi na wala hauwezi kututoa mrisi.

Nimeona watu hawapendi Mama ahojiwe . Nimeona wanamuandama Gwajima mpaka wengine wanafika mbali kwamba auliwe !!. Kisa yuko kinyume na mama !!. Sasa hata kina Bagonza waacheni waongee . Haimzuii mama kama ameamua kuendeleza mkono wa chuma .
 
Back
Top Bottom