Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Wewe ni mpuuzi kabisa . Yaani mwenziyo kubambikwa kesi wewe unachukulia poa !!. Wenziyo kutandikwa risasi za bila mpango kwako ni poa !!

Umepungukiwa hekima kama siyo akili . Wafuasi wa watawala mnatia kinyaa
Mkuu ni wangapi wanaobambikiwa kesi.unajua bosi wa mabasi ya champion mbona amefariki aliokotwa kwa kiroba.
Pia watu kufanyiwa matukio Kama haya kila nchi yanafanyika sema huwa hawakutangazii Mana wao Wana control ni Nini kisikike kwa jirani

Sasa wewe Mambo ya familia yenu mnapanga vizuri pale ndani mkiwa familia yote baba mama na ndugu zako afu unajifanya Kama una akili Sana unaenda nje kusema ya kwenu kwa majirani kisa labda una maslahi Fulani.
Yaani unamhujumu familia yako.
Unadhani baba yako atakufanyaje.

Kubambikiziwa kesi mkuu sio mbowe tu hebu tembelea mahakama ama magereza ongea na wafungwa ama mahabusu jamani.
Si unapigania haki.
Kuna watu wanasingiziwa wamebaka kumbe sio.

Kama wewe mpigani haki hebu fanya uchunguzi Ila tu usiwe mpigani mbowe.
Masuala ya kuabudu mtu as if yeye ndiye anayetupa pumzi sio kabisa man.
Otherwise awe mmeo so umemisi pigo zake chumbani mpaka unaweweseka hauli
 
Mkuu ni wangapi wanaobambikiwa kesi.unajua bosi wa mabasi ya champion mbona amefariki aliokotwa kwa kiroba.
Pia watu kufanyiwa matukio Kama haya kila nchi yanafanyika sema huwa hawakutangazii Mana wao Wana control ni Nini kisikike kwa jirani

Sasa wewe Mambo ya familia yenu mnapanga vizuri pale ndani mkiwa familia yote baba mama na ndugu zako afu unajifanya Kama una akili Sana unaenda nje kusema ya kwenu kwa majirani kisa labda una maslahi Fulani.
Yaani unamhujumu familia yako.
Unadhani baba yako atakufanyaje.

Kubambikiziwa kesi mkuu sio mbowe tu hebu tembelea mahakama ama magereza ongea na wafungwa ama mahabusu jamani.
Si unapigania haki.
Kuna watu wanasingiziwa wamebaka kumbe sio.

Kama wewe mpigani haki hebu fanya uchunguzi Ila tu usiwe mpigani mbowe.
Masuala ya kuabudu mtu as if yeye ndiye anayetupa pumzi sio kabisa man.
Otherwise awe mmeo so umemisi pigo zake chumbani mpaka unaweweseka hauli
Hahahaaaa umewapa ukweli ili watulie pumbavuuuuuuuuuuuuu
 
Mkuu ni wangapi wanaobambikiwa kesi.unajua bosi wa mabasi ya champion mbona amefariki aliokotwa kwa kiroba.
Pia watu kufanyiwa matukio Kama haya kila nchi yanafanyika sema huwa hawakutangazii Mana wao Wana control ni Nini kisikike kwa jirani

Sasa wewe Mambo ya familia yenu mnapanga vizuri pale ndani mkiwa familia yote baba mama na ndugu zako afu unajifanya Kama una akili Sana unaenda nje kusema ya kwenu kwa majirani kisa labda una maslahi Fulani.
Yaani unamhujumu familia yako.
Unadhani baba yako atakufanyaje.

Kubambikiziwa kesi mkuu sio mbowe tu hebu tembelea mahakama ama magereza ongea na wafungwa ama mahabusu jamani.
Si unapigania haki.
Kuna watu wanasingiziwa wamebaka kumbe sio.

Kama wewe mpigani haki hebu fanya uchunguzi Ila tu usiwe mpigani mbowe.
Masuala ya kuabudu mtu as if yeye ndiye anayetupa pumzi sio kabisa man.
Otherwise awe mmeo so umemisi pigo zake chumbani mpaka unaweweseka hauli
Mama alipoingia alidai hataki kesi za kubambika . Na kuiamuru Takukuru na jeshi la police kujikagua . Na kweli kesi nyingi zikafutwa. Sasa hiki kinachofanyika leo ni nini Ka si ubambikaji kesi ?!.

Mambo ya ndani yapi hamtaki yatoke nje ?!. KATIBA MPYA !!. Hili si swala la hisani ya mtawala bali la wananchi dhidi ya mtawala wao.
 
Mama alipoingia alidai hataki kesi za kubambika . Na kuiamuru Takukuru na jeshi la police kujikagua . Na kweli kesi nyingi zikafutwa. Sasa hiki kinachofanyika leo ni nini Ka si ubambikaji kesi ?!.

Mambo ya ndani yapi hamtaki yatoke nje ?!. KATIBA MPYA !!. Hili si swala la hisani ya mtawala bali la wananchi dhidi ya mtawala wao.
Ikifika wakati watu watadai wenyewe mkuu ujue ilo.
Pia jaji a person kwa vitendo Bali sio kwa asemalo.
Pia jikite kucheki life lako zaidi.mana Nina Imani hakuna raisi atakayeweka ugali Mezani kwako ama kwangu
 
Mama Amon.
Acheni watu waongee . Tusiwe taifa la kubana wananchi kutoa hisia zao. U communist zama hizi haulipi na wala hauwezi kututoa mrisi.

Nimeona watu hawapendi Mama ahojiwe . Nimeona wanamuandama Gwajima mpaka wengine wanafika mbali kwamba auliwe !!. Kisa yuko kinyume na mama !!. Sasa hata kina Bagonza waacheni waongee . Haimzuii mama kama ameamua kuendeleza mkono wa chuma .
Sina tatizo na uhuru wa kuongea.

Naamini katika dialectical method of philosophical reasoning.

Mbinu hii haiwezekani bila vichwa viwili, vitatu kugonganisha mawazo.

Tatizo langu: intentional disinformation, intentional malinfrmation.

Bagonza anaumwa magonjwa haya mawili.

Naona haya ni magonjwa sugu kwenye kichwa chake.

Kwa esposure aliyo nayo, yeye sio mtu wa kupinga tozo zoooote, kuanzia tozo kwenye miamala hadi property tax kwenye sim card.

Bila shaka ana ajenda yake ya siri.

Na ajenda yake hii hapa:


"Ukweli usiotamkwa (a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote."

Anataka serikali ya mseto kisirisiri.
Nani atakubali hoja hiyo na kwa sababu gani?

Nadhani sasa umefunguka macho.
 
SIWEZI KUBISHANA NA MTU ANAYETUMIA SEHEMU YAKE YA HAJA KUBWA KUINGILIWA NA WANAUME WEWE NI SHOGA TU
Shughuli yako hiyo inayokuweka mjini, mshukuru yule Mwarabu jirani yenu aliyekutatua marinda wakati ule ukiwa dogo kabisa yule ndiye kakufungulia njia ya kujipatia rizki hapa mjini.
 
Toa hoja kama mtu mwenye uelewa. Umeuliza maswali ya ujinga mtupu. Eti wakati Mwigulu anasoma mswada wa kuweka tozo kwenye miamala, kwa nini Askofu hakukemea! Loh! Hivi wewe mzima? Wale wanaojiita wabunge, kazi yao ni nini? Nani alijua kuwa hao wanaoitwa wabunge, kumbe yote ni mizoga? Kuna mtu alijua kuwa hayo yanayojiita wabunge, yangekaa kimya na kupitisha tozo hizo gandamizi? Au siku hizi hoja ikipelekwa Bungeni, tunatakiwa tuanze kuijadili ja kuitolea maamuzi huku nje ya bunge?

Tumieni akili mlizopewa na Mungu katika uadilifu kuliko uhalifu.
Sasa msitupigie mikelele yenu hapa wakati kitu kabla hakijawa sheria mlikuwa busy kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za BET
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Katiba mpya itacheleweshwa tu lakini wakati ni sasa. Mama akitaka kutawala kwa utulivu na mafanikio aachie mchakato haumzuii kufanya maendeleo
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Msimwingize Mwenyezi Mungu katika siasa.
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Huyo ndiye Bagonza.

Ajibiwe kwa hoja
 
kusema kweli ccm wanatakiwa kuongoza nchi kwa utashi wa Mungu, iache kumkumbatia yule aliye kinyume na Mungu kwani hasira ya Mungu inawaka juu yao.
 
c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.
Kuna wakati huwa napata shida kuelewa umakini wa Bagonza. Angalia anachosema:

  1. Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa--hadi hapo mahakama itakapoamua kesi iliyo mahakamani.
  2. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6--katika vivhwa vya wale ambao wanaamini kwamba tuhuma sio za kweli.
  3. Zimechochea madai ya Katiba Mpya--hata kama yalianza kabla ya kesi dhidi ya Mbowe.
  4. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa--ikiwa tuhuma sio za kweli.
  5. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu--kama ambavyo vyama vyote vya upinzani, ikiwemo chadema, wanataka haki.
  6. Urais uko mnadani--Hitimisho
Hakuna hoja hapa zaidi ya chokochoko zisizo na kichwa wala mkia.

This is disinformation.

And disinformation is a kind of violence.
 
Kuna wakati huwa napata shida kuelewa umakini wa Bagonza. Angalia anachosema:

  1. Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa--hadi hapo mahakama itakapoamua kesi iliyo mahakamani.
  2. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6--katika vivhwa vya wale ambao wanaamini kwamba tuhuma sio za kweli.
  3. Zimechochea madai ya Katiba Mpya--hata kama yalianza kabla ya kesi dhidi ya Mbowe.
  4. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa--ikiwa tuhuma sio za kweli.
  5. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu--kama ambavyo vyama vyote vya upinzani, ikiwemo chadema, wanataka haki.
  6. Urais uko mnadani--Hitimisho
Hakuna hoja hapa auzaidi ya chokochoko zisizo na kichwa wala mkia.

This is disinformation.

And disinformation is a kind of violence.
Yaani wewe na akili zako unaamini maelezo ya Polisi kuwa Mbowe ni gaidi alitaka kulipua vituo vya petrol station? —Wakati mwingine uwe unatumia common sense
 
Bagonza ndiyo nani nchi hii? Bora angeongea Ruwa'ich au Pengo.Hawa maaskofu wanatoka wapi?
 
Back
Top Bottom