Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Kwa mtu unayetumia njia yako ya haja kubwa kufikiri huwezi kumuelewa utaishia kuporomosha matusi kama mlivyofundishwa na yule aliyeko jehanam sasa
SIWEZI KUBISHANA NA MTU ANAYETUMIA SEHEMU YAKE YA HAJA KUBWA KUINGILIWA NA WANAUME WEWE NI SHOGA TU
 
Wewe ni mpuuzi kabisa . Yaani mwenziyo kubambikwa kesi wewe unachukulia poa !!. Wenziyo kutandikwa risasi za bila mpango kwako ni poa !!

Umepungukiwa hekima kama siyo akili . Wafuasi wa watawala mnatia kinyaa
 
Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Hapa ndipo Askofu Bagonza na Askofu Mwamakula wanapochemka.

Hao vijana wameonekana wanasali ktk Kanisa la KKKT.

Mwamakula ameandila Novena yenye kibwagizo "Mwanakondoo Ameshinda" kama kwamba Chadema ni ya Wakristo pekee.

Sasa CHADEMA maana yake ni "Chama cha Demokrasia na Mwanakondoo Ameshinda."

Sheria ya vyama vya siasa inakataza vyama vya kidini.

Chama hiki kitafutwa kwa sababu hii, pamoja na ile nyingine.

Nafanya unabii tu.
 
Kila mtu aliyeguswa anasali kwa imani yake

Kama viongozi huwa wanawaambia watu wawaombee, siyo mbaya hata wapinzani nao kuombewa.

Kuombea mtu dua siyo kinyume cha sheria.

Wakiifuta Chadema napo pia tutawashitaki kwa Mungu
 
Mama Amon. Nawe umechemka .

Yaani hukuona hoja hapo mpaka ukimbilie udini ?! Hoja za tozo na ubambikaji vyesi hujaziona isipokuwa umeuona udini !!.
Usomi hauna maana Tz kama mnatumika vibaya hivi.

Cdm hata ikifutwa haina maana wananchi 100% wataiunga mkono Ccm . Zaidi zaidi ni kuizidishia chuki kwa wananchi
 
Kila mtu aliyeguswa anasali kwa imani yake

Kama viongozi huwa wanawaambia watu wawaombee, siyo mbaya hata wapinzani nao kuombewa.

Kuombea mtu dua siyo kinyume cha sheria.

Wakiifuta Chadema napo pia tutawashitaki kwa Mungu
Hofu: Religion is a double agent of good and evil.
 
Yaani hukuona hoja hapo mpaka ukimbilie udini ?! Hoja za tozo na ubambikaji vyesi hujaziona isipokuwa umeuona udini !!.
Katika masuala ambayo Bagonza anayatumia kisiasa ni tozo za miamala ya simu.
He is misdirecting himself intentionally.
Nimesoma maandiko yake yote juu ya jambo hili.
Nimemsikiliza MariaSpaces
Na hatimaye naona ni under-informed kuhusu jambo hili.
Hana hoja zaidi ya kuchonganisha kambi hasimu.
Hayo ndiyo maoni yangu kwako.
 
Hana msimamo , ukisoma atakuzungusha zungusha kama kichwa chake kilivyo pendulum. Hawezi kujenga msimamo wenye kujenga.
Bendela ya matukio.
JIREKEBISHE
kujisahihisha sio dhambi
 
Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
 
Hata watawala huombewa
Mingu hana monopoly, kila mtu aombe
Mungu yupi hana monopoly? Unajingishwa na unakubali vipi wakati una akili timamu?

Data muhimu:

According to the Principle of the Dissimilarity of the Diverse, as McTaggart called it,: if x and y are distinct then there is at least one property that x has and y does not, or vice versa.

Yaani, kwa vile mungu yuko sehemu zote, ndani na nje ya miili yetu, kila tunachokifanya, naye pia anafanya. Kwa sababu hii tunaweza kuona utofauti wa miungu kirahisi kama ifuatavyo:


  1. Mungu anayekula kiti moto sio mungu asiyekula
  2. Mungu anayevaa kondomu sio mungu asiye vaa
  3. Mungu anayetaka kuabudiwa Ijumaa sio mungu asiyetaka
  4. Mungu anayetaka kuabudiwa Jumamosi sio mungu asiyetaka
  5. Mungu anayetaka kuabudiwa Jumapili sio mungu asiyetaka
  6. Mungu mwenye nafsi tatu sio mungu mwenye nafsi moja
  7. Mungu mwenye mwili sio mungu asiye na mwili.
  8. Mungu anayeoa mke mmoja sio mungu anayeoa watano.
Kwa hiyo:
  1. Mungu wa Wakatoliki sio Mungu wa Walutheri
  2. Mungu wa Walutheri sio Mungu wa Waanglikana
  3. Mungu wa Wakristo sio Mungu wa Waislamu
  4. Mungu wa Wasabato sio Mungu wa Wapentekoste

Mwisho:

Mtu akikwambia jambo la kipumbavu, wakati anajua kwamba ni jambo la kipumbavu, na akiwa anafahamu kuwa unajua kuwa ni jambo la kipumbavu, lakini bado ukalikubali, atakudharau kwa sababu unajidharau.

Hivyo, linda heshima yako kwa kukataa kujingishwa, kupinga kupumbazwa na viongozi wa dini.
 
Mama Amon.
Acheni watu waongee . Tusiwe taifa la kubana wananchi kutoa hisia zao. U communist zama hizi haulipi na wala hauwezi kututoa mrisi.

Nimeona watu hawapendi Mama ahojiwe . Nimeona wanamuandama Gwajima mpaka wengine wanafika mbali kwamba auliwe !!. Kisa yuko kinyume na mama !!. Sasa hata kina Bagonza waacheni waongee . Haimzuii mama kama ameamua kuendeleza mkono wa chuma .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…