Askofu Bagonza: Mfano wa "REFORM" ya Rais Samia ni kama hivi anavyowahusisha "PPP" katika ujenzi wa barabara ya Kiberashi mpaka Singida(340kms)

Askofu Bagonza: Mfano wa "REFORM" ya Rais Samia ni kama hivi anavyowahusisha "PPP" katika ujenzi wa barabara ya Kiberashi mpaka Singida(340kms)

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
4R's za mh.Rais Samia zina mawanda mapana sana.

REFORM:

Huko nyuma hatukuona ujenzi wa barabara zetu wakipewa "PPP-ubia wa sekta binafsi na serikali" zaidi ya hatua za wizara ya uchukuzi(ujenzi)pekee.

Mh.Rais Samia amekuja na mikakati hii mipya akiichagiza "REFORM" kwa kuihusisha "PPP" na miradi tofauti , mathalani huu ujenzi wa barabara ya kutoka Handeni-Kiberashi-Chemba-Singida(340kms).

Mh.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata kuiasa WIZARA YA MAMBO YA NDANI kupandisha vyeo na madaraja watumishi wake kwa falsafa ya REFORM ya mh.Rais Samia sambamba na kuibua miradi ya maendeleo katika taasisi zao.Hii haina maana kuwa kabla ya "REFORM ya 4R's" kulikosekana kupandishwa madaraja kwa watumishi wa wizara hiyo na pia kulikosekana ubunifu wa miradi ya kiuchumi bali ni kule kukufanya bora zaidi kwa kasi ya "4R's" ya mh.Rais wetu.

HITIMISHO:

"REFORM " ya zile 4R's za mh.Rais Samia ni jambo adhimu na pana sana linalogusa pia mambo ANUAI ya KIUCHUMI na KIUWEKEZAJI na si tu kisiasa ,kijamii na kidiplomasia.

Niwatakie daku (suhuur) jema enyi wafungaji wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan !

#Mwenyezi Mungu alilinde na kulihifadhi taifa tukufu la Tanzania ,aaamin aaamin !!
 
4R's za mh.Rais Samia zina mawanda mapana sana.

REFORM:

Huko nyuma hatukuona ujenzi wa barabara zetu wakipewa "PPP-ubia wa sekta binafsi na serikali" zaidi ya hatua za wizara ya uchukuzi(ujenzi)pekee.

Mh.Rais Samia amekuja na mikakati hii mipya akiichagiza "REFORM" kwa kuihusisha "PPP" na miradi tofauti , mathalani huu ujenzi wa barabara ya kutoka Handeni-Kiberashi-Chemba-Singida(340kms).

Mh.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata kuiasa WIZARA YA MAMBO YA NDANI kupandisha vyeo na madaraja watumishi wake kwa falsafa ya REFORM ya mh.Rais Samia sambamba na kuibua miradi ya maendeleo katika taasisi zao.Hii haina maana kuwa kabla ya "REFORM ya 4R's" kulikosekana kupandishwa madaraja kwa watumishi wa wizara hiyo na pia kulikosekana ubunifu wa miradi ya kiuchumi bali ni kule kukufanya bora zaidi kwa kasi ya "4R's" ya mh.Rais wetu.

HITIMISHO:

"REFORM " ya zile 4R's za mh.Rais Samia ni jambo adhimu na pana sana linalogusa pia mambo ANUAI ya KIUCHUMI na KIUWEKEZAJI na si tu kisiasa ,kijamii na kidiplomasia.

Niwatakie daku (suhuur) jema enyi wafungaji wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan !

#Mwenyezi Mungu alilinde na kulihifadhi taifa tukufu la Tanzania ,aaamin aaamin !!


Huwezi kufanikiwa kwenye haya bila mahakama bora zaidi na kukomesha rushwa mtageuza haya kuwa wizi
 
4R's za mh.Rais Samia zina mawanda mapana sana.

REFORM:

Huko nyuma hatukuona ujenzi wa barabara zetu wakipewa "PPP-ubia wa sekta binafsi na serikali" zaidi ya hatua za wizara ya uchukuzi(ujenzi)pekee.

Mh.Rais Samia amekuja na mikakati hii mipya akiichagiza "REFORM" kwa kuihusisha "PPP" na miradi tofauti , mathalani huu ujenzi wa barabara ya kutoka Handeni-Kiberashi-Chemba-Singida(340kms).

Mh.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata kuiasa WIZARA YA MAMBO YA NDANI kupandisha vyeo na madaraja watumishi wake kwa falsafa ya REFORM ya mh.Rais Samia sambamba na kuibua miradi ya maendeleo katika taasisi zao.Hii haina maana kuwa kabla ya "REFORM ya 4R's" kulikosekana kupandishwa madaraja kwa watumishi wa wizara hiyo na pia kulikosekana ubunifu wa miradi ya kiuchumi bali ni kule kukufanya bora zaidi kwa kasi ya "4R's" ya mh.Rais wetu.

HITIMISHO:

"REFORM " ya zile 4R's za mh.Rais Samia ni jambo adhimu na pana sana linalogusa pia mambo ANUAI ya KIUCHUMI na KIUWEKEZAJI na si tu kisiasa ,kijamii na kidiplomasia.

Niwatakie daku (suhuur) jema enyi wafungaji wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan !

#Mwenyezi Mungu alilinde na kulihifadhi taifa tukufu la Tanzania ,aaamin aaamin !!
No, mkuu! Hii sio reform in the strictest sense of the word. Tunahitaji institutional reforms, sio hili zoezi la kutimiza mapenzi ya mtawala. True reforms ni zile zinazofanyika kutokana na mabadiliko ya Katiba na sheria.
 
No, mkuu! Hii sio reform in the strictest sense of the word. Tunahitaji institutional reforms, sio hili zoezi la kutimiza mapenzi ya mtawala. True reforms ni zile zinazofanyika kutokana na mabadiliko ya Katiba na sheria.
...na ndio maana bandiko langu likafafanua kuwa REFORM ni jambo pana ,wewe umegusia SHERIA na KATIBA....
Askofu Bagonza kaitaja "REFORM" kwa kusimamia katika masuala ya kijamii na pengine kaiingiza "RESILIENCE" katika fungu la REFORM.....


Mathalani mh.Rais amezungumzia kuwa "adui wa mwanamke si mwanamke mwenzake bali MIFUMO kandamizi ya kijamii....".Hapa pametungiwa sheria ya zuio la ndoa kwa watoto wa kike wa umri wa kusoma lakini pia mkazo wa hatua dhidi ya UKEKETAJI(FGM).
 
4R's za mh.Rais Samia zina mawanda mapana sana.

REFORM:

Huko nyuma hatukuona ujenzi wa barabara zetu wakipewa "PPP-ubia wa sekta binafsi na serikali" zaidi ya hatua za wizara ya uchukuzi(ujenzi)pekee.

Mh.Rais Samia amekuja na mikakati hii mipya akiichagiza "REFORM" kwa kuihusisha "PPP" na miradi tofauti , mathalani huu ujenzi wa barabara ya kutoka Handeni-Kiberashi-Chemba-Singida(340kms).

Mh.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata kuiasa WIZARA YA MAMBO YA NDANI kupandisha vyeo na madaraja watumishi wake kwa falsafa ya REFORM ya mh.Rais Samia sambamba na kuibua miradi ya maendeleo katika taasisi zao.Hii haina maana kuwa kabla ya "REFORM ya 4R's" kulikosekana kupandishwa madaraja kwa watumishi wa wizara hiyo na pia kulikosekana ubunifu wa miradi ya kiuchumi bali ni kule kukufanya bora zaidi kwa kasi ya "4R's" ya mh.Rais wetu.

HITIMISHO:

"REFORM " ya zile 4R's za mh.Rais Samia ni jambo adhimu na pana sana linalogusa pia mambo ANUAI ya KIUCHUMI na KIUWEKEZAJI na si tu kisiasa ,kijamii na kidiplomasia.

Niwatakie daku (suhuur) jema enyi wafungaji wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan !

#Mwenyezi Mungu alilinde na kulihifadhi taifa tukufu la Tanzania ,aaamin aaamin !!
Sawa baba Askofu
 
Back
Top Bottom