Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Uchaguzi Mkuu au Utekaji Mkuu au Ujazaji fomu Mkuu?

Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Uchaguzi Mkuu au Utekaji Mkuu au Ujazaji fomu Mkuu?

Kwa njia za haramu lakini kwenye Uchaguzi HURU na wa HAKI ccm hawapati hata 30% ya kura kila kona Nchini.

Oh! yesu wa lugola kafanya mengi sana ambayo hayajawahi kufanywa BLA BLA BLA!
Okay apite Nchi nzima akayatangaze ila tu hakikisheni uchaguzi unasimamiwa na Tume Huru na kura kupigwa na kuhesabiwa HADHARANI.

Mnakosa amani mioyoni mwenu.

CCM 1 Vs Chadema 1.hapo ni bilabila.
ngoja CCM watapachika la pili ila msianze kulalamika kwenye mitandao.
 
Huyu Askofu alitakiwa kuongezewa na cheo cha Mufti mkuu
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mapadre, Maaskofu, Mashekhe, Wachungaji etc wanapokwenda kupiga kura HUWA WANACHANGANYA DINI NA SIASA AU HAPO HAWACHANGANYI..!? Au kuchanganya dini na siasa ni pale anapotoa maoni au mitazamo yake kuhusu siasa..!?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Moja kati ya watu watamumia endapo Lisu atakatwa ni huyu Bagonza!

Jamaa ana mahaba kwa Lisu vibaya mno.
Askofu ana mahaba na utawala bora, utawala wa kuheshimu katiba na kuruhusu demokrasia itamalaki. Wewe ndio mwenye mahaba na Magufuli ukiomba dua apite bila KUJIPIMA NA LISSU.
 
Mungu wa majeshi uishivyo Kama unasikia hebu SIKIA UTUONDELEE HUYU MTESAJI!!!HEBU CHOMOA WAYA WA BETRI HATA KWA MASAA MANNE INATOSHA ILI AJE MWINGINE MWENYE UTU!!HUYU HAPANA KABISA!!
 
Back
Top Bottom