Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Huyu si aliambiwa na mkuu wake askofu Shoo kwamba wajitenge na siasa?
Mmoja wao huyuNi wachache watakaoelewa hii kitu[emoji3]ngoja uone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si aliambiwa na mkuu wake askofu Shoo kwamba wajitenge na siasa?
Mmoja wao huyuNi wachache watakaoelewa hii kitu[emoji3]ngoja uone.
Wewe pia una mahaba na Magufuli lakini ulioni hilooooMoja kati ya watu watamumia endapo Lisu atakatwa ni huyu Bagonza!
Jamaa ana mahaba kwa Lisu vibaya mno.
Ccm inasajili mafirauni kama GwajimaGwajima wa CCM
😆😆😆Kwani Bagonza ni mlutheri?
Wewe askofu unastahili kupewa tuzo. Kila ukiikamata kalamu yako na kuandika kitu watanzania lukuki tunaelimika.Nawasihi wanaopongeza, wanaokosoa, wanaofoka foka, wanaotafuta wasio raia, waliokwepa kodi na wachochezi, wasihangaike kutumia dawa ya bei mbaya. Dawa kuu ya kukomesha hayo yote ni UCHAGUZI MKUU, si UTEKAJI MKUU wala UJAZAJI FOMU MKUU.
UCHAGUZI MKUU uliofanyika kwa haki na kwa Uhuru unatibu magonjwa hayo.
Askofu Bagonza
Akatwe kwa lipi hasa ? Halafu hayo mamlaka ya kukata wagombea mnayapata wapi ? Hana mahaba na Lissu , and mahaba na haki.Moja kati ya watu watamumia endapo Lisu atakatwa ni huyu Bagonza!
Jamaa ana mahaba kwa Lisu vibaya mno.
Jiwe hawezi kuwa na urafiki na maaskofu wanaojielewa kama hawa.
Ahsante Baba Askofu.
Hujaona wengine woote wakitumiwa na jiwe na genge lake Kila wakati?Huyu si aliambiwa na mkuu wake askofu Shoo kwamba wajitenge na siasa?