Alafu anajidai kuwaonea huruma waliohukumiwa kunyongwa huku mikono yake ikiwa imejaa damuDikiteta magufuli atawamaliza wakosoaji wote hapa Tz, Bagonza omba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa dikiteta magufuli hajawahi kuwa na huruma kwa wakosoaji!!
How old are you?Huyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.
Hayo matunda niyaone na mie.Sifikkri kama kukosoa ni makosa. Hata Mungu mwenyewe amekosolewa sembuse mwanadamu? Ila kwa utawala huu imekuwa ni kosa la jinai. Lakini tushamwambia Mungu ashughulike wote wanaotuharibia nchi yetu nzuri yenye maziwa na asali. Tunashukuru tushaanza kuona matunda. Ahsante Yesu!
😁😁🤣🤣 wee dada wacha mbwembwe![emoji23] [emoji23] [emoji23] Ona haka nako, huwezi kuvumilia wewe na nani? Na huyo muuaji ni nani? Kumbe unamjua sasa si mumfuate na risasi hata za kukodi mkampige aache kuua watu?
Umeanza tena kuleta mikwara yako kama ile ya wakati wa kampeni?
Bagonza inamtesa dhambi ya kumshabikia loser Lisu, na tulimuonya yeye kama kiongozi wa tasisi kama KKKT hapaswi kufanya vile. Unaona sasa tabu anayopata?
Haamini katika Mungu ndio maana mimi nasemaga hata tunguli atakuwa nazo lazima. Wakati wenzie wameungana kuomba kwa ajili ya corona yeye alifunga makanisa kwenye dayosisi yake ili kuwafurahisha kina Mbowe, yani tz nzima ni yeye pekeeake ndio alifunga makanisa kwa sababu yeye ana phd na ana akili sana, yani hata wapagani walimzidi kiimani huyu askofu,!
Empty verbosity! Trash.Leta kinyesi sasa ili kiwe mbolea.
Mnakosa lugha za kuwashawishi watu wema na hata waovu ili wawaunge mkono katika wema wenu au uovu wenu ndio maana hata mkiitisha maandamano hamuungwi mkono .
Fuatilia utagundua kuwa JPM anasoma sana mijadala kwenye Jamii Foram na anatoa majibu Chanya kwa wenye Mijadala sio matusi.
Kwa hivyo vijibu vya shoti kati mtaishia kulalamika tu. Unasoma ushuzi wa mtu halafu unabaki kutapika badala ya kusema kile unachoamini ili umshawishi.
Hivi nyie mnategemea kupata wapi watu wa kuwaunga mkono?
Au mnawategemea wazungu ? Wazungu hawana jibu kwa utawala wa Magufuli mana yupo siriasi kuleta maendeleo jambo ambalo linawapa wakati mgumu sana kupambana naye. Vatikani inamkubali JPM mana yupo kwa ajili ya wengi . Wezi wa chache hawana nafasi zaidi ya kutafuta vishirika vilivyochoka kuwaunga mkono ambao hauna tija. JPM sio kama akina Mugabe waliokuwa wameshachoka. Chuma kina uwezo wa kutosha sana. Lazima mje na mbinu nyingine ya kidemokrasia sio matusi. Watanzania ndio maana hawapigi kura mnabaki kusema mmeibiwa kura wakati watu wengi hawapigi kura kutokana na kukosa ladha ya siasa zenye matusi na kejeli tu. Nani akavunjwe mguu wake ili akaunge mkono matusi na kejeli.
Lazima mzungumzie maisha ya watu wengi sio wachache!. Lazima mjadili namna ya kuwafyeka waovu kwenye pato la taifa wasionekane kujipanga kutuibia tena.
Mnabahati akina Mdee na Maalim seif wameshtuka mapema na kwenda kuapishwa . Hivyo vyama vingejikuta nje ya orodha ya Msajili.
Miafrika ndivyo tulivyo.Huyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.
Kabisa mkuu... Lisu alitaja hadi namba ya gari na aina, lakini kimyaa... CCTV zikabebwa, Kimyaaaa... Leo wansema hili kesho lile...Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao...
Na yeye sijui kachagua nchi gani ya kwenda maana hapa tutabaki wawili tu wengine naona wanachagua nchi hahaaHii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao...
Umeandika vizuri ingawa unaonekana hujui kitu kabisa hapo ulipo.Siungi mkono Vitisho ,mauaji na utekaji lakini pia kwa sasa siwaungi mkono wakosoaji au wapinzani mana sijui wanataka nini?....
Kilo 1,000 za pumba za mpunga.Siungi mkono Vitisho ,mauaji na utekaji lakini pia kwa sasa siwaungi mkono wakosoaji au wapinzani mana sijui wanataka nini?...
Anadhani lema kawini kwenda kanada.Huyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.
Kikosa hakukataliwi iwapo mkosoaji anatumia hekima au staha kwenye kauli zake.Sifikkri kama kukosoa ni makosa. Hata Mungu mwenyewe amekosolewa sembuse mwanadamu? Ila kwa utawala huu imekuwa ni kosa la jinai. Lakini tushamwambia Mungu ashughulike wote wanaotuharibia nchi yetu nzuri yenye maziwa na asali. Tunashukuru tushaanza kuona matunda. Ahsante Yesu!
Hii ndio Taarifa aliyoisambaza mitandaoni siku ya leo , kwamba kuna watu wabaya wamefika Karagwe kwa lengo la kummaliza , bali amejiapiza kwamba hatokimbia na anasubiri watekeleze Unyama wao .
Binafsi siwezi kupuuza taarifa hii ya kiharamia kutokana na ukweli kwamba sasa tuko kwenye Tanzania mpya ambayo wote waliotoa taarifa za kuwindwa hawakulindwa hadi wakaumia ama kupotea , Lissu na Ben Saa Nane ni mifano halisi , mpaka leo Polisi hawana maelezo yaliyonyooka zaidi ya kumung'unya maneno tu .
Mungu mbariki Baba Askofu Bagonza