TANZIA Askofu Chedieli Elinaza Sendoro, KKKT Dayosisi ya Mwanga amefariki kwa ajali

TANZIA Askofu Chedieli Elinaza Sendoro, KKKT Dayosisi ya Mwanga amefariki kwa ajali

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Kuna taarita ambayo sio nzuri.

Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.

Taarifa zaidi kukufikia mapema

=====

1725912509706.png

Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga

1725912740294.png

Chanzo: Gold FM
 
Kuna taarita ambayo sio nzuri.

Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.

Taarifa zaidi kukufikia mapema
Mhh! Hii ni hatari. Gari nyang'a nyang'a!!

Serikali tunaomba mzitanue barabara kuu za Dar Tunduma, Dar Arusha, Dar Dodoma, nk. Kiukweli ni nyembamba, halafu zimetumika kwa muda mrefu sasa.
 
Mhh! Hii ni hatari. Gari nyang'a nyang'a!!

Serikali tunaomba mzitanue barabara kuu za Dar Tunduma, Dar Arusha, Dar Dodoma, nk. Kiukweli ni nyembamba, halafu zimetumika kwa muda mrefu sasa.
Hiyo ya Arusha sioni shida yake sana..

Ukiwa mtu wa Safari sana utaona jinsi watu hasa Mabasi, magari binafsi na Serikali wanavyokimbia bila tahadhari.. mpaka unajiuliza huyu anafamilia kweli..?

Kuna sehemu za kumwaga moto na kuna sehemu za kunyata.. ktk 50 nenda na 50 walioweka wanamaana yao. Mstari upo straight usiovertake tulia..
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom