Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Yesu alikuwa anavaa kanzu na makubasi.Hivi Yesu naye alikuwa anavaaga kama hizi kofia za maaskofu?
Wenyeji tupo-Mashahidi wa Yehova tutarithi majumbaRIP askofu, sote ni wageni kwenye uso wa dunia, tutembee kwa tahadhari sana tunapo ikanyaga ardhi.
Ni bahati mbaya sana ajili za vyombo vya usafiri vimekuwa sababu kuu ya kukatiza uhai, hivyo tahadhari iwe kubwa , heri kuchelewa kufika lakini ufike salama.
Kwani huwa wanakimbilia wapi hasa? Kuzimu!!!? Haraka haraka haina barakaHiyo ya Arusha sioni shida yake sana..
Ukiwa mtu wa Safari sana utaona jinsi watu hasa Mabasi, magari binafsi na Serikali wanavyokimbia bila tahadhari.. mpaka unajiuliza huyu anafamilia kweli..?
Kuna sehemu za kumwaga moto na kuna sehemu za kunyata.. ktk 50 nenda na 50 walioweka wanamaana yao. Mstari upo straight usiovertake tulia..
Kuna taarita ambayo sio nzuri.
Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.
Taarifa zaidi kukufikia mapema
=====
Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga
Chanzo: Gold FM
Ingekua zama hiz za Gen Z Yesu angekua anavaa yebo yeboBwana Yesu alikuwa anavaa kanzu na makubasi.
Ni kweli.. kiufupi Tanzania hakuna barabara nzima au yenye tija.. asilimia 90 ni mbovu na zisizo rafiki kwa vyombo vyetu.Ni sawa Mkuu ..lakini bado Barabara zimechakaa sana kwa hizo za Dsm-Arusha,Dsm-Mwanza,Dsm-Tunduma
Barabara hizo kuu zilizotajwa ni death traps...hasa ile ya kipande cha Dsm-Moro ni pa hovvyo mno.
Ni umaskini na maamuzi tu wa Nchi kuwa na 4 ways.Kutapunguza sana zile zinazoepukika.
Mtu akitoa nzima nzima huchomoki hata kama ulikuwa unatembea na 20Kms.
Jioni Mkuu utakuwa unajua Fuso zinavyotililka kwenda Mjini Dsm...plus na ubovu wa Barabara.
Imetengenezwa?Kuna taarita ambayo sio nzuri.
Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.
Taarifa zaidi kukufikia mapema
=====
Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga
Chanzo: Gold FM
Hiyo picha nimeshindwa kutambua ni kitu gani hasa
Kwamba askofu yeye hana haraka au?Gari ya Askofu, mbio za nini ? Haya ajali haina kinga
Mkuu kabisa.Ni kweli.. kiufupi Tanzania hakuna barabara nzima au yenye tija.. asilimia 90 ni mbovu na zisizo rafiki kwa vyombo vyetu.
Hiyo njia ya Moro sio kabisa haifai.. unaweza ukawekwa mtu kati na malori mawili mbele na nyuma ndugu zako wakaja kuokota nguo tu kuzika.
Kuna taarita ambayo sio nzuri.
Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.
Taarifa zaidi kukufikia mapema
=====
Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga
Chanzo: Gold FM
Maaskofu wa aina hii ni wafia CCM! Askofu atakwepaje Siasa!Askofu alikuwa hana dereva? Mungu anachukua watumishi wema, alikuwa hataki kuchanganya siasa na dini kama Shoo na Kitima wa Chadema
Sio kwamba polisi wote ni wabaya, au wanaunga mkono ubaya unaotendwa na polisi wenzao hasa wakubwa. Polisi wengine wengi nao ni raia wema, ingawa kuna polisi majambazi na wauwaji. Ni kama wanaccm wapo wema pia, ingawa wengi ni wabaya sana.Kati ya watu ambao nikiwa napita zangu nikaona wamepata ajali na mimi nawapita na kuwaacha wafe ni askari jeshi la polisi na wanajeshi wote , madereva wa magari ya serikali na madereva wa mabasi hao nita waacha wafe tuu kwakweli