Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mtoto wa Askofu Sendoro?
Ndio ,alikuwa mkatili kama baba yakeHuyu Mtoto wa Askofu Sendoro?
Milele Amina... Hiyo Gari yake iligongwa na Treni ya SGR?Ndio ,alikuwa mkatili kama baba yake
Kwanini Maaskofu hawapewi madereva wa kuwaendesha kama ilivyo kwa viongozi wengineKuna taarita ambayo sio nzuri.
Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.
Taarifa zaidi kukufikia mapema
=====
Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga
Chanzo: Gold FM
Kuna wengine wanavuta sigara shoo, Kuna wengine wanaonja pombe kidogo. Madereva watatoa siriKwanini Maaskofu hawapewi madereva wa kuwaendesha kama ilivyo kwa viongozi wengine
😛Kuna wengine wanavuta sigara shoo, Kuna wengine wanaonja pombe kidogo. Madereva watatoa siri