TANZIA Askofu Chedieli Elinaza Sendoro, KKKT Dayosisi ya Mwanga amefariki kwa ajali

TANZIA Askofu Chedieli Elinaza Sendoro, KKKT Dayosisi ya Mwanga amefariki kwa ajali

Hawaongelei misiba ya watanzania hawa maaskofu. Na Wala hawaikosoi serikali kama mzee wa upako. Acha wafe tu.
 
Habari hii ,ikufikie popote ulipo!
 

Attachments

  • IMG-20240909-WA0058.jpg
    IMG-20240909-WA0058.jpg
    65.1 KB · Views: 5
Hiyo ya Arusha sioni shida yake sana..

Ukiwa mtu wa Safari sana utaona jinsi watu hasa Mabasi, magari binafsi na Serikali wanavyokimbia bila tahadhari.. mpaka unajiuliza huyu anafamilia kweli..?

Kuna sehemu za kumwaga moto na kuna sehemu za kunyata.. ktk 50 nenda na 50 walioweka wanamaana yao. Mstari upo straight usiovertake tulia..
Kati ya watu ambao nikiwa napita zangu nikaona wamepata ajali na mimi nawapita na kuwaacha wafe ni askari jeshi la polisi na wanajeshi wote , madereva wa magari ya serikali na madereva wa mabasi hao nita waacha wafe tuu kwakweli
 
Mhh! Hii ni hatari. Gari nyang'a nyang'a!!

Serikali tunaomba mzitanue barabara kuu za Dar Tunduma, Dar Arusha, Dar Dodoma, nk. Kiukweli ni nyembamba, halafu zimetumika kwa muda mrefu sasa.
Igawa Tunduma ni nyembamba na imechakaa sana
 
Kati ya watu ambao nikiwa napita zangu nikaona wamepata ajali na mimi nawapita na kuwaacha wafe ni askari jeshi la polisi na wanajeshi wote , madereva wa magari ya serikali na madereva wa mabasi hao nita waacha wafe tuu kwakweli
Sasa na wao si wanakuacha pia.unaongea km vile we ni Mungu unajua nani apate ajali lini.
Ajali inaweza kukukuta hata wewe dakika yoyote.
 
Kuna taarita ambayo sio nzuri.

Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.

Taarifa zaidi kukufikia mapema

=====


Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga


Chanzo: Gold FM
Pole Kwa wafiwa.R.I.P bwana Askofu mwendo umeumaliza.

Kwa Sasa mtu Ukiwa unasafiri unakuwa na hofu sana hususani usafiri wa Umma.
 
Hiyo gari imechakaa haswa, kutoka majeruhi hapo ungekuwa muujiza.

Apumzike kwa amani.
 
Kuna taarita ambayo sio nzuri.

Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same.

Taarifa zaidi kukufikia mapema

=====


Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro amefariki dunia usiku huu, Septemba 9, 2024 baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kisangiro wilayani Mwanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

PIA SOMA
- Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga


Chanzo: Gold FM
IMG-20240910-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom