Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Apumzike kwa Amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaMwamba wa haki umeanguka
True bishop hakuwa mchumia tumbo kama wengi tunaowaona miaka hii ambao wengine wamejipa vyeo vya unabii[emoji23]Anti-apartheid Icon.
Requiescat In Pace Bishop.
Lakini aliunga mkono ushoga na ndoa za jinsia moja,True bishop hakuwa mchumia tumbo kama wengi tunaowaona miaka hii ambao wengine wamejipa vyeo vya unabii[emoji23]
Wanaomkubali Desmond Tutu hawamkubali kama Askofu bali harakati zake za kupinga ubanguzi wa rangi, kamatia hapo hapo hayo mengine utajipoteza bure tu.Lakini aliunga mkono ushoga na ndoa za jinsia moja,
Una umri gani?Vipi atakumbukwa kwa lipi
😁😁😁😂😂😂...eti Mwamakula😁😁😁😁😆😆😆😆😆Hii ndio taarifa iliyotolewa na Rais wa Africa Kusini , Ramaphosa .
Amefariki leo tarehe 26/12/2021
Tunakushukuru Askofu Tutu kwa kutuachia Masalia yako Mwamakula , kazi ataiendeleza .
Shida ni ukiamua kua mtetezi wa haki za binadamu ni utatakiwa kutetea na haki za first generation ambazo ndiyo zinacover maswala ya ndoa za jinsia moja na ushoga.Lakini aliunga mkono ushoga na ndoa za jinsia moja,
Nimekusoma.Wanaomkubali Desmond Tutu hawamkubali kama Askofu bali harakati zake za kupinga ubanguzi wa rangi, kamatia hapo hapo hayo mengine utajipoteza bure tu.
Kwa hili; "Ukiwa nyutro kwenye hali udhalimu umechagua upande wa mdhulumaji, kama unaona Tembo ameukanyanga mkia wa panya na wewe unasema uko nyutro panya hatafurahia unyutro wako"- Desmond TutuVipi atakumbukwa kwa lipi
Makaburu walikuwa sahihi kivipi?Nimekusoma.
Ila kwa upumbavu wa Wazulu makaburu walikuwa sahihi,hii Jamii ni primitives kabisa.