TANZIA Askofu Desmond Tutu afariki kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 90

TANZIA Askofu Desmond Tutu afariki kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 90

Wewe unajuwa nini? Ungekuwa unajuwa japo robo tu ungejuwa Mandela siyo Mzulu wala Bishop Desmond Tutu siyo Mzulu pia.

Yani nyinyi muache kupambana na mafisadi wa ccm muwende kwenye nchi yao kufanya vibaruwa kwa ujira mdogo halafu unategemea wawachekee tu?

Watawashaya sana Makwerekwere nyinyi Fuseki.
Sasa kama wao ni wavivu wao ni wizi na ulevi,hawataki kazi.awachagui wa kuuwa.Shaka zulu ndie aliyepandikiza roho ya ukatili kwa jamii ile.
Kaburu ndie kiboko yao.Mtu primitives yafaa uwe primitives zaidi yake ndo mtakwenda SAwa,wale bila bullets hawaendi.
 
Sasa kama wao ni wavivu wao ni wizi na ulevi,hawataki kazi.awachagui wa kuuwa.Shaka zulu ndie aliyepandikiza roho ya ukatili kwa jamii ile.
Kaburu ndie kiboko yao.Mtu primitives yafaa uwe primitives zaidi yake ndo mtakwenda SAwa,wale bila bullets hawaendi.
Haya Magereza ya Tanzania wamejaa Wasouth Africa?

Kinondoni, Sinza, Tabata mabar yanayokesha wanakunywa wazulu?

Umezaliwa South Africa tayari imejengwa kama ulaya ni nyinyi makwerekwere ndio mlioijenga?

Endeleeni tu kushobokea cheaper labour wataendelea kuwauwa mpaka akili ziwakae sawa.

Nyinyi hapa kwenu kazi ya ujira mdogo kwa muhindi hamtaki halafu ndio unataka wao wakubali kuswagwa kwenye nchi yao?
 
Rais Ramaphosa amethibitisha kifo cha mshindi wa Nobel na miongoni mwa watu muhimu kumaliza ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu katika umri wa miaka 90.

Tutu aligundulika kuwa na saratani ya kibofu mwishoni mwa miaka 1990 na amelazwa mara kadhaa kwa maradhi yanayohusiana na matibu ya saratani hiyo.

=========

View attachment 2057934

Desmond Tutu: Archbishop and anti-apartheid veteran dies aged 90​

South Africa's Archbishop Desmond Tutu, one of the leaders of the anti-apartheid movement, has died at the age of 90, the President's Office has said.

He was an outspoken critic of the country's previous brutal system of oppression against the country's Black majority.

He was awarded the Nobel Peace Prize in 1984 for his campaign of non-violent opposition to South Africa's white minority rule.

"The passing of Archbishop Emeritus Desmond Tutu is another chapter of bereavement in our nation's farewell to a generation of outstanding South Africans who have bequeathed us a liberated South Africa," President Cyril Ramaphosa said.

A statement on behalf of the Tutu family described him as a man who "turned his own misfortune into a teaching opportunity to raise awareness and reduce the suffering of others."

It said: "He wanted the world to know that he had prostate cancer, and that the sooner it is detected the better the chance of managing it."

The statement added: "Ultimately, at the age of 90, he died peacefully at the Oasis Frail Care Centre in Cape Town this morning.
View attachment 2057952

Source: skynews

==========
View attachment 2057976
Huyu si ndo alikuwa mtetezi wa ushoga na mashoga??[emoji57]

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Haya Magereza ya Tanzania wamejaa Wasouth Africa?

Kinondoni, Sinza, Tabata mabar yanayokesha wanakunywa wazulu?

Umezaliwa South Africa tayari imejengwa kama ulaya ni nyinyi makwerekwere ndio mlioijenga?

Endeleeni tu kushobokea cheaper labour wataendelea kuwauwa mpaka akili ziwakae sawa.

Nyinyi hapa kwenu kazi ya ujira mdogo kwa muhindi hamtaki halafu ndio unataka wao wakubali kuswagwa kwenye nchi yao?
Huwezi fanya ujira Mdogo home tunafanya ugenini.Dunia ni kijiji so nasi tuwatoe baruti walipojazana huko kwenye migodi yetu kama labour.
Hii dunia tunategemeana.Wazungu wachina wanaiba Afrika then wanarudisha kama misaada, mikopo,nk.
 
Lakini aliunga mkono ushoga na ndoa za jinsia moja,
Hivi unadhani nani anafurahia kumzaa shoga ?!. Je akitokea kwenye ukoo wako utamfanya nini ili nawe usitende dhambi ?!.

Hakuna anaeunga mkono ushoga isipokuwa watu hawataki kujichukulia sheria mkononi . As if wewe pia huna dhambi. Kwa hiyo ukiona wanatetewa na viongozi wa imani. Tu ni ktk kutaka kuwa fair
 
Mtu alithubutu kukosoa Wakoloni Hadi wakaufyata, Leo Mtu anashindwa kukosoa udhalimu wa waafrika wenzake huku ana kofia ya Uchungaji kichwani?
Ulitaka asemee kila kitu?.Hakuna binadamu wa hivyo.kila mtu ana upande flani anaoweza kuusimamia kwahiyo ni jukumu la wengine kusemea mengine.Je wewe umesemea jambo gani kati ya madhila mengi yanayowakuta waafrika.Au unamshutumu tu Tutu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hivi unadhani nani anafurahia kumzaa shoga ?!. Je akitokea kwenye ukoo wako utamfanya nini ili nawe usitende dhambi ?!.

Hakuna anaeunga mkono ushoga isipokuwa watu hawataki kujichukulia sheria mkononi . As if wewe pia huna dhambi. Kwa hiyo ukiona wanatetewa na viongozi wa imani. Tu ni ktk kutaka kuwa fair
True hasa kwa Jamii yetu hata kushutumiwa tu ushoga achilia kuzaa inadisturb Jamii nzima hakuna apendae kuwa na ndugu shoga lakini kuwathamini ni kupromote ushoga.
 
True hasa kwa Jamii yetu hata kushutumiwa tu ushoga achilia kuzaa inadisturb Jamii nzima hakuna apendae kuwa na ndugu shoga lakini kuwathamini ni kupromote ushoga.
Mkuu unataka uwaue ?!. Si utakuwa nawe umetenda dhambi Ile ile !!
 
R.I.P Askofu Desmond Tutu. Mmoja ya waAfrica waliopata Noble piece price. Kwa kutumia akili badala ya nguvu kuondoa utawala wa makaburu walioitawala Africa ya kusini kwa zaidi ya miaka 300.

Nenda mzee, mwendo umeumaliza. Dunia itakukumbuka. Msalimie mzee Madiba na Mzee mchonga.
 
Back
Top Bottom