Hili jina Rashid kalipata lini? Kalipataje? Nani kampa? Kwa maslahi ya nani?askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jina Rashid kalipata lini? Kalipataje? Nani kampa? Kwa maslahi ya nani?askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima
Yaani huyu tapeli anawatapeli Waislam kuwa amesilimu ili wamkubali? Waislam siyo kama waumini wake anayoichukulia hela kila Jumapili na kuwasalisha kwenye lile banda analoita Kanisa.Hili jina Rashid mbona alikiwa halitumii hapo awali?
Gamanywa naye alikuwa anaitwa Said wakati alipokuwa mwislamu!Rashidi alivyo msanii si ajabu akaanzisha na msikiti kabisa, yaani ainvest kote kote kanisani na msikiti
Wote ni vibarakaGamanywa naye alikuwa anaitwa Said wakati alipokuwa mwislamu!
Kwenye mambo yake anajiita BAE.Kwa hio jamaa anabadirika kutokana na mazingira.
Madhabahuni=Josephat
Kwa kampeni=Rashid
Akiwa kwenye yale mambo yake=?
Wakati yupo Chadema mlikuwa mnamwita askofu Mushi Gwajima!Yaani huyu tapeli anawatapeli Waislam kuwa amesilimu ili wamkubali? Waislam siyo maboya kama ile misukule yake anayoichukulia hela kila Jumapili na kuwasalisha kwenye lile banda la nguruwe analoita Kabisa.
Hilo jina alipewa msikitini kabla hajaokoka!Hili jina Rashid kalipata lini? Kalipataje? Nani kampa? Kwa maslahi ya nani?
Alivyochanganyikiwa kuna siku atasema aliwahi kuitwa Hadija ili apate kura za wanawake.Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio bwashee naishi maandazi road!
Wapi alipomkana Yesu?Siasa kweli ni mbingu ndogo.hadi Gwajima anamkana Yesu kwa uongo juu ya Halima na sasa anasilimu?johnthebaptist nawe unaita ni sayanamsi!
Rashid ameshikwa pabaya, anaamua kuikana IMANI yake! Hivi anadhani wananchi wa kawe ni mazuzu?Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Kawe hatutaki wasanii, tunataka mtu serious na kazi.Kushinda atashinda ila asilete usanii.
mzinzi...mshirikina...pornstar...Aisee, how dare you?.Gwajima mmoja, ni zaidi ya saccos yanu yote pale ufipa. Kawe imetwaliwa mikononi mwenu na kupewa Jirani yenu Gwajima.
Mtu huyo ni Gwajima!Kawe hatutaki wasanii, tunataka mtu serious na kazi.
Mbasha yule aliyekatwa mitama na Adam?!Sijui kwanini leo nimekumbuka ndoa ya Mbasha na Flora ilivyokuwa imetulia sana Kisha ikavunjika baada ya shetani kuitembelea hiyo ndoa.
Una mzaha mbaya sana!Kushinda atashinda ila asilete usanii.