Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Yaani huyu tapeli anawatapeli Waislam kuwa amesilimu ili wamkubali? Waislam siyo maboya kama ile misukule yake anayoichukulia hela kila Jumapili na kuwasalisha kwenye lile banda la nguruwe analoita Kabisa.
Wakati yupo Chadema mlikuwa mnamwita askofu Mushi Gwajima!
 
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Alivyochanganyikiwa kuna siku atasema aliwahi kuitwa Hadija ili apate kura za wanawake.
 
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Rashid ameshikwa pabaya, anaamua kuikana IMANI yake! Hivi anadhani wananchi wa kawe ni mazuzu?
 
Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Back
Top Bottom