Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Rafiki Yangu Furaha Dominick Ninakukumbusha Kuwa Nitamchagua Askofu Dr.Rashid Chidi Gwajima aaamin.

Gwajima Atosha!!
 
Kama wewe ni mcha Mungu ukimpigia kura mtumishi wa Mungu kuwa mwanasiasa siku za mwisho utawajibika
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Dr Chidi?
 
Kwanza uache kumpachika vyeo visivyo vyake.
Kwanza sio dkt... hajasoma mpaka phd.. hana publication yoyote.
Pili hilo jina rashid ni la kampeni tu. Si jina halisi.
Kwani kuwa Dr ni lazima uwe na PhD bwashee?

Dr Slaa ana PhD?

Dr Kikwete je?
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!

Kesho mtakuja mnamuita Mufti sheikh alhajij Alhaj Khadija Rashid Josephat Gwajima, yote hiyo tunaita homa ya uchaguzi
 
Ila wakati mwingine hawa wanasiasa (uchwara) wanakera sana.....yaani wanatuona wapiga kura hamnazo kabisa!
 
Mara tu kashapata wadhifa wa kuitwa Dr...? Sifa moja wapo ya kuwa Mbunge nafikiri...Kazi ipo Tanzania yetu!!!
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Umeona jinsi ccm mlivyo mazuzu?
 
Kwani kuwa Dr ni lazima uwe na PhD bwashee?

Dr Slaa ana PhD?

Dr Kikwete je?
Dr kikwete ana horonary doctoriate .... slaa ameisomea kabisa udaktari wa sheria za Kanisa ulio maarufu kama J.C.D. (Juris Canonic Doctor).
Upo kaka? Gwajima hata degree au masters hana. Huo u dr kaupata wapi?
 
Dr kikwete ana horonary doctoriate .... slaa ameisomea kabisa udaktari wa sheria za Kanisa ulio maarufu kama J.C.D. (Juris Canonic Doctor).
Upo kaka? Gwajima hata degree au masters hana. Huo u dr kaupata wapi?
Huyo Gwajima hata Form Six hana
 
Dr kikwete ana horonary doctoriate .... slaa ameisomea kabisa udaktari wa sheria za Kanisa ulio maarufu kama J.C.D. (Juris Canonic Doctor).
Upo kaka? Gwajima hata degree au masters hana. Huo u dr kaupata wapi?
Korea ya kusini!
 
Mwenyekiti wangu wa CCM DR Magufuli kaa ukijua jimbo la Kawe umeteua mtu mwenye hulka zilizowazi za ukabila, mdhalilishaji wa dini zingine ametutukana wakatoliki ametukana waislamu pía ni tapeli tapeli

Umetukosea sana Mh Mwenyekiti , bora jimbo hili tulikose tu,, GWAJIMA ni lipumbavu lisilostahili wadhifa wowote nchini

Nitapiga kura ya urais kwa JPM ila ubunge nitampa MDEE
 
Back
Top Bottom