Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!



Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi kwenye kampeni zake hajaahidi kufufua misukule kweli??

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!

Bado Magu naye ajiite Dokta Rama😀
 
Huyu jamaa ni tapeli mkubwa kawe kama watampigia kura huyu tapeli watakuwa watu wa ajabu
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!

Huyu anatosha kuwa tapeli lililokubuhu na si kiongozi wa umma. Rashidi hahah haha haha
 
Nileteeni Gwajima!
Nileteeeni Gwaajimaa!
Nilteeeeni Gwaaajimaaa!
Nileteeeeeni Gwaaaajimaaaa!
 
Back
Top Bottom