Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Muulize Makamba Sr, Cardinal Pengo na waislam wote, kwanza. Vigezo vyote vya kucheza sinema za X?
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Tazama uongo bila aibu....mitano imemtosha
Maendeleo hayana vyama.
https://www.jamiiforums.com/data/video/2595/2595093-06f76a99b7563e0d95a1b065f58fb823.mp4
 
Wewe unaishi Kawe?
Mkuu yohanambatizaji pale juu ni kama kuna tying error! Umeandika "Dr Askofu Rashid Josephat Gwajima anafaa Kutuongoza Wana Kawe." Naomba edit isomeke Dr Askofu Rashida Josephat Gwajima anafaa Kutongoza Wana Kawe. Maana sifa hiyo anayo huyo Rashid!
 
Nileteeni Rashidiiiiiiiiiiiiiiii
Nileteeni Rashidiiiiiiiiiiiiiiii
Nileteeni Rashidiiiiiiiiiiiiiiii
Nileteeni Rashidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Rashid Ndiyo Habari Kubwa
Ila Hawezi Kushinda
 
Awe Josee au Chiddy anabaki kuwa Gwajima yuleyule. Mtanzania na mwafrika halisi

Waarabu na wazungu wala vibaraka hawawezi kutugawa kwa kutumia dini
 
Siasa zinatia watu ujinga sana.katembea kwenye maji anataja hata jina la rashid.
 
Askofu Chidi hahahahhaa
Hata wanaochagua lazima wapatwe kizunguzungu
 
  • Thanks
Reactions: R.K


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!



Tapeli sasa anajiita muislamu! mbinafsi sana helikopta wakati watu wanasali nje!!
 


Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.

Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote

Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.

Maendeleo hayana vyama!
Kwanza uache kumpachika vyeo visivyo vyake.
Kwanza sio dkt... hajasoma mpaka phd.. hana publication yoyote.
Pili hilo jina rashid ni la kampeni tu. Si jina halisi.
 
Back
Top Bottom