Uchaguzi 2020 Askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anatosha Kawe ana vigezo vyote!

Yaani huyu tapeli anawatapeli Waislam kuwa amesilimu ili wamkubali? Waislam siyo maboya kama ile misukule yake anayoichukulia hela kila Jumapili na kuwasalisha kwenye lile banda la nguruwe analoita Kabisa.
Wakati yupo Chadema mlikuwa mnamwita askofu Mushi Gwajima!
 
Alivyochanganyikiwa kuna siku atasema aliwahi kuitwa Hadija ili apate kura za wanawake.
 
Rashid ameshikwa pabaya, anaamua kuikana IMANI yake! Hivi anadhani wananchi wa kawe ni mazuzu?
 
Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…