Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Tazama uongo bila aibu....mitano imemtoshaKiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu yohanambatizaji pale juu ni kama kuna tying error! Umeandika "Dr Askofu Rashid Josephat Gwajima anafaa Kutuongoza Wana Kawe." Naomba edit isomeke Dr Askofu Rashida Josephat Gwajima anafaa Kutongoza Wana Kawe. Maana sifa hiyo anayo huyo Rashid!Wewe unaishi Kawe?
Alisilim zamani anaitwa Rashid.Historia ya udini inambana sana Gwajima alikuwa akiwananga sana waislamu tena sanaa
Kumbe askofu muislam? Sasa waumini wajue askofu wao ni muislam.Karudi kwao. Kawaambia yeye ni mwenzao. Anaitwa Rashid[emoji4]
Alibatizwa kwa maji mengi anaitwa Josephat!Alisilim zamani anaitwa Rashid.
Askofu tapeli, mzizi, mshirikina, lagai n.k
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Yuko radhi 'kufanywa' lolote ili mradi tu awe Mbunge.Askofu yupo radhi kwa lolote ili apate ulaji, basi na akiri ule mkono sio wa baunsa!
Kwanza uache kumpachika vyeo visivyo vyake.
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe.
Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha dini zote makabila yote, taaluma zote na watu wote
Niwaombe wanakawe tusifeli tena kama 2015 tumchague Gwajima, yule Halima Mdee 10 imemtosha.
Maendeleo hayana vyama!
Ule mkono wake kabisa,,na miguno.Askofu yupo radhi kwa lolote ili apate ulaji, basi na akiri ule mkono sio wa baunsa!