Uchaguzi 2020 Askofu Dr. Bagonza kumbuka Rais ni taasisi. Je, ulitaka Magufuli asizungumzie Uchaguzi kisa ni Mgombea?

Uchaguzi 2020 Askofu Dr. Bagonza kumbuka Rais ni taasisi. Je, ulitaka Magufuli asizungumzie Uchaguzi kisa ni Mgombea?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale Mgombea Urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa Hru na wa Haki, tena Mwenyekiti wa Chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.

Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?

Maendeleo hayana vyama!
 
Kabla ya kumuuliza Kiongozi wa Kidini mkubwa namna hii.

Mimi ngoja nikuulize. Je, ni sahihi mtu huyohuyo anayesema uchaguzi utakua huru na haki, hapohapo aseme CCM watarudi na Wapinzani kwa heri?. Yeye ndio mpiga kura? Au sabababu anajua Tume yake ya uchaguzi haitaruhusu hilo?



Nmekujibu Swali kwa Swali.
 
M/kiti wa Tume ya Uchaguzi hana sheria za uchaguzi? Au hatakuwepo?
 
Kwani askofu kakosea? Umemwelewa kwenye lile andiko lake lote? We unajua rais no taasisi? Ndo maana anajiamulia Kila jambo na mnasifu, mkiamini yeye ni taasisi? Unajua tofauti kati ya urais=taasisi na rais=mtu?

Askofu huwezi mwelewa wewe, sio level zako huyo, na ana mawazo huru, wewe umefungwa huwezi mwelewa.
 
Mtoa Mada Njaa Inamsumbua, ukweli anaujua ila anacheza na akiri zetu. Mgombea alijuaje uchaguzi utakuwa huru na haki wakati wagombea na vyama vishiriki wanalalamikia tume ya uchaguzi...

Hata hivyo Pamoja na tume hii isiyo huru lolote laweza kutokea na Wakashangaa Wanaojidanganya kuwa CCM wote watarudi na wapizani kwa heri.
 
Kabla ya kumuuliza Kiongozi wa Kidini mkubwa namna hii.

Mimi ngoja nikuulize, Je nisahihi mtu huyohuyo anayesema uchaguzi utakua huru nahaki, hapohapo aseme CCM watarudi na wapinzani kwa heri?. Yeye ndio mpiga kura? Au sabababu anajua Tume yake ya uchaguzi haitaruhusu ilo????



Nmekujibu Swali kwa Swali.
Hakuna mahali amesema ccm mtarudi wapinzani kwaheri. Na angesema hivyo leo ungeona tanzania daima imeweka front page.
 
Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.

Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Ni haki yake kuzungumzia uchaguzi kwa wakati huu, lakini si haki yake kuwadhibiti wagombea wenzake wakati wa uchaguzi, hilo ndilo askofu analohoji.
 
Askofu Bagonza amesema inafikirisha pale mgombea urais mmoja anapowaambia wenzie uchaguzi utakuwa huru na wa haki, tena Mwenyekiti wa chama kishiriki anapowaambia wenzie hawatavumilia matusi na kejeli.

Namuuliza tu baba Askofu Bagonza, Je, alitaka Rais Magufuli akae kimya kabisa kwa sababu tu yeye ni mgombea urais na mwenyekiti wa CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Wee mzee siyo lazima kila siku ujaze server kama huna la maana la kuandika. Kukaa kimya nako rukhsa
 
Kweli mambo yanabadilika kwa kasi. Leo askofu anakemea watu kuambiwa wasitukane. Ye anataka lugha za matusi kwa hiyo.? Aingie tu kwenye siasa atukane

Tatizo linakuja kwavile hamjazoea kuambiwa ukweli mara mnapoambiwa ukweli mnaona kama vile mnatukanwa!!! Wakiwaambia kuwa Magufuli anavunja katiba kwa kuingilia uhuru wa BUNGE mtasema wamemtukana ili hali huo ndio ukweli ulio dhahili!!
 
Tatizo linakuja kwavile hamjazoea kuambiwa ukweli mara mnapoambiwa ukweli mnaona kama vile mnatukanwa!!! Wakiwaambia kuwa Magufuli anavunja katiba kwa kuingilia uhuru wa BUNGE mtasema wamemtukana ili hali huo ndio ukweli ulio dhahili!!
Mngeanza kwanza kumueleza ukweli mbowe.
 
Mmeambiwa mshindane kwa hoja,sio matusi yatayoleta vurugu. Sasa mna hoja gani ya kupambana na Ccm iliyo chini ya JPM?
Mgombea Lowasa alitukanwa sana na alikashifiwa sana pamoja na kudhahikiwa kwa maneno ya kila aina pia na malofa wakaingizwa.
Kwako wewe hayo yote yalikuwa ni hoja!
 
Back
Top Bottom