Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mikutano ya ndani haina kipengere hicho , ndio maana Manara anaongea mara kwa mara na waandishi wa habarimarufuku mikusanyiko bila kibali.
tuzingatie hilo.
Kama Rashid GwajimaHivi huyo ni askofu au mwanasiasa? Atakuwa anatumiwa na mabeberu, siyo bure
mmempuuza wewe na nani ?Tumepuuuza huyo!
Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.
Ni raia wa Tanzania. Nani alikwambia jukumu la kudai katiba mpya ni la wanasiasa pekee?Hivi huyo ni askofu au mwanasiasa? Atakuwa anatumiwa na mabeberu, siyo bure
mikutano ya ndani ya nini??? fence au nyumba!!Mikutano ya ndani haina kipengere hicho , ndio maana Manara anaongea mara kwa mara na waandishi wa habari
Na hapo Rift Valley Polisi ndio pa kuulizahalafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa
πππππ
watu wabadi unawauliza nyumbani kwa mtu mbadi
ombi lako linashughulikiwaPia wataalamu waweke link ya youtube ili tupate kwa tulio mbali.
Watz wote kasoro chademammempuuza wewe na nani ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mdude mlikuwa mnampa moyo kama hivi alipotiwa nyavuni mkala kona kama sio nyie vileAmina baba askofu. Shikilia hapo hapo! Usirudi nyuma baba. Jiwe amejigeuza kuwa Mungu wa watanzania wajinga...
Hao ndo Watanzania ndugu wao wanaamini katiba ni siasa na katiba ina mambo ya uchaguzi tu.Hili Taifa kuna kazi kubwa kukombolewaNi raia wa Tanzania. Nani alikwambia jukumu la kudai katiba mpya ni la wanasiasa?