Nchi ina viatu hii haina watu kabisa.Hao ndo Watanzania ndugu wao wanaamini katiba ni siasa na katiba ina mambo ya uchaguzi tu.Hili Taifa kuna kazi kubwa kukombolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ina viatu hii haina watu kabisa.Hao ndo Watanzania ndugu wao wanaamini katiba ni siasa na katiba ina mambo ya uchaguzi tu.Hili Taifa kuna kazi kubwa kukombolewa
Yako maneno.Mimi na Rweyemamu tumeshafanya booking ya kiti cha mbele.Saa 3kamili tutakuwepo hapo nyumbani Kimara Golani.Wala sio pa kuchukua bodaboda.Mguu chap tumefika na vifaa vyetu.Ngoja nipokee simu.Ok hata Milard Ayo atakuwepo wa kwanza.Tumepuuuza huyo!
Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.
Watu Wa aina yako hawajitambui kabisa,inawezekana hata hiyo katiba iliyopo huijui na wala hujawahi kuisoma uone mapungufu yaliyomo.Au ndo kutafuta kiki ili apate wafuasi, bora aungane na nabii tito
Kijana utakwenda, au askofu keshakamatwa na kuachiliwa, 1) hukuendeki kwa uoga, 2) Mkutano umejifia kifo cha baridi. 3). Bado upo na mnaenda.Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .
Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .
Wote Mnakaribishwa .
Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
Tumepuuza matendo yake ya unazi wa kichadema!Siku hizi mnawadharau na kuwapuuza maaskofu..mmendelea mko vizuri kwakweli!
Yaani kabisa unafunga safari kwenda kumsikiliza kichaa kama huyo MwamakulaHii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .
Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .
Wote Mnakaribishwa .
Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
maaskofu wengine bhana baada ya kuhubiri habari za Mungu, anaitisha waandishi wa habari.Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .
Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .
Wote Mnakaribishwa .
Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
Akiwaita mjitokeze hamtokei......uende kwake ukamuunge mkono na sio Amina za kwenye keyboardAmina baba askofu. Shikilia hapo hapo! Usirudi nyuma baba. Jiwe amejigeuza kuwa Mungu wa watanzania wajinga.
Sasa tunqpowapata watu wenye akili kama wewe Mwamakula napata faraja Sana.
Mungu anakutumiq baba askofu kuyakomboa haya makapi ya binadamu yaliyojazana kwenye haka ka nchi kaitwako Tanzania.
Wanajiita chawa wa Magufuli, hamna watu hapo niwadudu na takataka tu. Wengine wamejitambulisha kua Wameokotwa majalalani.Hao ndo Watanzania ndugu wao wanaamini katiba ni siasa na katiba ina mambo ya uchaguzi tu.Hili Taifa kuna kazi kubwa kukombolewa
Sasa wakikosekana nani atahukumiwa😀Muulizeni askofu dhambi zimeshaisha mtaani?
Akishaongea atasaidia nini?Mikutano ya ndani haina kipengere hicho , ndio maana Manara anaongea mara kwa mara na waandishi wa habari
Usituingize kwenye mbumbumbu wako. Wenzako hatuamini kwenye kuropoka na kupayuka tumwamini kwenye haki na ukweli. Baki na mazuzu wenzio mnaodanganywa kwamba mna raisi mzalendo wakati aliwauzia nyumba za umma pale dodoma kwa mil6 lila moja. Yaani ghorofa liliuzwa ml 6 tena kwa mkopo. Hakuishia hapo akauzia vimada wake kina kajala wa kebys nyumba za umma tena hakuwa mtumishi.Tumepuuuza huyo!
Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.