Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kuongea na Vyombo vya Habari vya ndani na nje ya nchi

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kuongea na Vyombo vya Habari vya ndani na nje ya nchi

Tumepuuuza huyo!

Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.
Yako maneno.Mimi na Rweyemamu tumeshafanya booking ya kiti cha mbele.Saa 3kamili tutakuwepo hapo nyumbani Kimara Golani.Wala sio pa kuchukua bodaboda.Mguu chap tumefika na vifaa vyetu.Ngoja nipokee simu.Ok hata Milard Ayo atakuwepo wa kwanza.

Simu yako isikose bundle.Muvuzisha huko kwenye pembe3 nyekundu.( u tube) upate live.

Baba askofu hata Askofu Desmond Tutu alipigania wananchi wawekwe huru na Mungu alimfanikisha.Hata wewe utafanikiwa.Ni kitu chema.

Ni kitu kibaya sana kimefanywa na UTV leo J4 kwangu mimi.(wanatakiwa watuombe msamaha vinginevyo channel itafutika kwenye TV zetu soon) taarifa ya habari saa 2.(Mh.Mkurugenzi Azam TV ona Star Times wanavyohaha) watu wako wanataka kutupoteza kama tulivyopotea TIBICI baada ya wewe kubalance habari wakati wao kutaka kusikia ya upande wa kwao.Wakaona unawasaliti wakaku..........

Mh.Leo tumesikia upande mmoja tu wa jeshi la polisi.(kama wavyofanyaga TIBISI,YULE UHURU YULE MZALENDO na wale wadogoze.) Kwa nini hamjamleta Askofu na Yeye tumsikie kwa upande wake baada ya kukamatwa na kuachiwa na polisi.Hapo ndipo story inanoga na kukaa sawa.Mleteni askofu naye tumsikilize.Kama hamuwezi kubalance mizani ya habari msituletee.Vinginevyo tufute hiyo channel kama zilivyofutwa hizo tajwa juu.

Hivi wamewafanyaje mpaka kabisa mmeshindwa kubalance.Habari za namna hii tunaziitaga ni umbeya.Kama sio umbeya kwa nini mmoja unamweka kwapani na mwingine unamtanguliza mbele.Kwani ethics za habari zikoje.

Mimi najua kidogo.Habari kama hakuna pande zote mbili sio habari.Eg.Jeshi la polisi limesema hivi,lakini na Askofu amesema hivi.Hapo sawa.Sisi tutapima wenyewe ukweli uko wapi.Bye.
 
Au ndo kutafuta kiki ili apate wafuasi, bora aungane na nabii tito
Watu Wa aina yako hawajitambui kabisa,inawezekana hata hiyo katiba iliyopo huijui na wala hujawahi kuisoma uone mapungufu yaliyomo.

Nyie kazi kushangilia utopolo tu,watu wanahitaji katiba Mpya inayompa mwananchi madaraka ya kuiwajibisha serikali anayoiweka madarakani.

Soma katiba iliyopo uone ilivyo na mapungufu mengi sana,usihofu imeandikwa kwa kiswahili.
 
Whoever listens to mwana mgambo is half leaving. Four are only elements in ndangani(Ass). Zazibari are not part of this element.
1. CCM hard lines and die herders
2.Mwana mgambo.
3.Warabu(waislam)
4.Wakristo
 
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .

Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .

Wote Mnakaribishwa .

Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
Kijana utakwenda, au askofu keshakamatwa na kuachiliwa, 1) hukuendeki kwa uoga, 2) Mkutano umejifia kifo cha baridi. 3). Bado upo na mnaenda.
 
Huyu Askofu Mwanaharakati, mbona ni tapeli hivi. Anatumia platform ya kidini kuendeleza siasa za kichama, huyu Askofu ni shabiki mkubwa wa chadema, na platform anayoitumia ni ya umma wote, Dini hazina vyama. Jee kanisa lake ni la wana Chadema tuu?
 
Siku hizi mnawadharau na kuwapuuza maaskofu..mmendelea mko vizuri kwakweli!
Tumepuuza matendo yake ya unazi wa kichadema!

Badala ya kuhangaika kuipigania chadema ikae ikulu angehangaika kuokoa roho za watu ziende mbinguni.

Mwambiaje aje nimuoneshe sehemu ambazo injili haijwahi kufika kabisa ili afanye injili huko.
 
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .

Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .

Wote Mnakaribishwa .

Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
Yaani kabisa unafunga safari kwenda kumsikiliza kichaa kama huyo Mwamakula
 
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwa wahusika wote wa ndani na nje ya nchi , na kwamba Mkutano huo utafanyika nyumbani kwake maeneo ya Kimara suka tarehe 17/2/2021 kuanzia saa 5 Asubuhi .

Kwa wale ambao ni Wageni wameelekezwa kufika hadi Kimara Suka halafu waelekee Golani hadi kituo cha Polisi cha Rift Valley , hapo waulize nyumbani kwa Askofu Mwamakula wataonyeshwa .

Wote Mnakaribishwa .

Angalizo : Usisahau kuvaa Barakoa .
maaskofu wengine bhana baada ya kuhubiri habari za Mungu, anaitisha waandishi wa habari.
 
Amina baba askofu. Shikilia hapo hapo! Usirudi nyuma baba. Jiwe amejigeuza kuwa Mungu wa watanzania wajinga.

Sasa tunqpowapata watu wenye akili kama wewe Mwamakula napata faraja Sana.

Mungu anakutumiq baba askofu kuyakomboa haya makapi ya binadamu yaliyojazana kwenye haka ka nchi kaitwako Tanzania.
Akiwaita mjitokeze hamtokei......uende kwake ukamuunge mkono na sio Amina za kwenye keyboard
 
Hao ndo Watanzania ndugu wao wanaamini katiba ni siasa na katiba ina mambo ya uchaguzi tu.Hili Taifa kuna kazi kubwa kukombolewa
Wanajiita chawa wa Magufuli, hamna watu hapo niwadudu na takataka tu. Wengine wamejitambulisha kua Wameokotwa majalalani.

Katiba mpya ni lazima kwa ustawi wa Umoja wetu ulioparaganyika.
 
Wa
Mikutano ya ndani haina kipengere hicho , ndio maana Manara anaongea mara kwa mara na waandishi wa habari
Akishaongea atasaidia nini?
Kama mnashaukiwa kuandamana mnashindwa sasa haya maongezi yake yana tija gani?
Na akizidi kakanisa kake kanafungwa kisha aje mkakae juani kuandika humu jf au amfuate tundu kuko ulaya akashikwe matako
 
Viongozi wote wa Upinzani wangekuwa determined kama huyu “Askofu”, labda by now tungeshaona mwanga kwenye njia ya kupata Katiba Mpya

Sadly wengi huwa wanalialia wimbo wa Katiba mpya kila uchaguzi unapoisha (baada ya kuibiwa kura) au kukaribia. Hakuna mtawala yoyote atakuja kukupa Katiba unayoipenda wewe kwenye silver plate
 
Tumepuuuza huyo!

Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.
Usituingize kwenye mbumbumbu wako. Wenzako hatuamini kwenye kuropoka na kupayuka tumwamini kwenye haki na ukweli. Baki na mazuzu wenzio mnaodanganywa kwamba mna raisi mzalendo wakati aliwauzia nyumba za umma pale dodoma kwa mil6 lila moja. Yaani ghorofa liliuzwa ml 6 tena kwa mkopo. Hakuishia hapo akauzia vimada wake kina kajala wa kebys nyumba za umma tena hakuwa mtumishi.
 
Back
Top Bottom