Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kuongea na Vyombo vya Habari vya ndani na nje ya nchi

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kuongea na Vyombo vya Habari vya ndani na nje ya nchi

Kwahiyo nao walijificha uvunguni?

Kwani nani alijificha uvunguni. Kama mnataka kujua nyie ni wachumba vyombo vya dola vyenye silaha vikae pembeni kisha mje wanaccm wenyewe mpambane na wapinzani ndio mtajua kuwa nyie ni watoto wa mama tu.
 
Umeshafika kumsikiliza akofu wako?

Huu ni ulimwengu wa digital, sio lazima ufike alipo physical, bali popote ili mradi una mtandao unapata kila kitu bila chenga.
 
sasa uliumia nini badala nawewe ukanunue!!!! , swala la wewe kukosa hela lisikupe hasira.
Mm siumii kwa kukosa pesa. Kwakuwa sijasoma ili nipate pesa. Hata hao unaowaita wanapesa walionunua maghorofa kwa ml 6 kama MAGUFULI hawajanunua kwa pesa halali. Ndiyo maana hawajaziandika kwenye fomu za maadili.
Jifunze kujibu hoja, usilete vimaneno vya kwenye kanga
 
Vuguvugu la Katiba mpya laweza kuzaliwa upya - wacha nivute kiko yangu nikisubiri muvi lianze. Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakob akutie nguvu baba Askofu - maana kazi uliyoianzisha ni muhimu sana kwa watanzania ila ni nzito mno.
 
Mm siumii kwa kukosa pesa. Kwakuwa sijasoma ili nipate pesa. Hata hao unaowaita wanapesa walionunua maghorofa kwa ml 6 kama MAGUFULI hawajanunua kwa pesa halali. Ndiyo maana hawajaziandika kwenye fomu za maadili.
Jifunze kujibu hoja, usilete vimaneno vya kwenye kanga
wewe ndio unaleta khanga, unadhani ungekuwa na nafasi na hiyo milioni kadhaa ungeacha kununua hizo nyumba!!!

tunakuwa watakatifu sana wakati tukiwa masikini tena bila madaraka, ila tukiyapata tunageuka tena.
usilete story za kinafiki hapa kwamba hukusoma upate pesa.
 
Naona kuna simu inapigwa haipokelewi, huenda anatafutwa aambiwe ujumbe muhimu
 
Tumepuuza matendo yake ya unazi wa kichadema!

Badala ya kuhangaika kuipigania chadema ikae ikulu angehangaika kuokoa roho za watu ziende mbinguni.

Mwambiaje aje nimuoneshe sehemu ambazo injili haijwahi kufika kabisa ili afanye injili huko.
Huwaoni wale wanaokuwa na Jiwe kila mahali kuanzia Chato kupitia Idodomya hadi Magogoni ?
Waimba mapambio wakiongozwa na Gwamanya, Gwajima,Pengo na Sheikh Alhad
Sijui hata unafahamu kanisa lilitoa mchango gani katika kupatikana Uhuru wa Afrika Kusini,na Zimbabwe
 
Mleta mada na Chadema mumeangalia facial expression ya Mwamakula akijieleza kwenye press conference leo?? mmemegundua kitu? Kama hamjagundua kitu poleni.Ha ha ha

 
update ya press plse !! saa tisa kasoro hii.
 
Back
Top Bottom