Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Ndio tupo Kituo cha Polisi cha Rift Valley tunawauliza maaskari ilipo nyumba ya Baba AskofuUmeshafika kumsikiliza akofu wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tupo Kituo cha Polisi cha Rift Valley tunawauliza maaskari ilipo nyumba ya Baba AskofuUmeshafika kumsikiliza akofu wako?
Kumbe hta nyumbani kwake hupajui?Ndio tupo Kituo cha Polisi cha Rift Valley tunawauliza maaskari ilipo nyumba ya Baba Askofu
Ndio , mimi ni Mroma , ila ninaungana na Baba Askofu kwenye kudai hakiKumbe hta nyumbani kwake hupajui?
Kwahiyo nao walijificha uvunguni?
Umeshafika kumsikiliza akofu wako?
Foolishman.Tumepuuuza huyo!
Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.
Kama alivyo Gwajima,kwani yeye anatumwa na makomredi?.Hivi huyo ni askofu au mwanasiasa? Atakuwa anatumiwa na mabeberu, siyo bure
Mm siumii kwa kukosa pesa. Kwakuwa sijasoma ili nipate pesa. Hata hao unaowaita wanapesa walionunua maghorofa kwa ml 6 kama MAGUFULI hawajanunua kwa pesa halali. Ndiyo maana hawajaziandika kwenye fomu za maadili.sasa uliumia nini badala nawewe ukanunue!!!! , swala la wewe kukosa hela lisikupe hasira.
wewe ndio unaleta khanga, unadhani ungekuwa na nafasi na hiyo milioni kadhaa ungeacha kununua hizo nyumba!!!Mm siumii kwa kukosa pesa. Kwakuwa sijasoma ili nipate pesa. Hata hao unaowaita wanapesa walionunua maghorofa kwa ml 6 kama MAGUFULI hawajanunua kwa pesa halali. Ndiyo maana hawajaziandika kwenye fomu za maadili.
Jifunze kujibu hoja, usilete vimaneno vya kwenye kanga
WOTE TUMMPUUZA KASORO WEWE NA WAJINGA WENZIO MSIOONA MAENDELEO KAZI YENU KUTAFUTA KUVUNJA AMANI TUmmempuuza wewe na nani ?
Hao ni wageni wa familia.marufuku mikusanyiko bila kibali.
tuzingatie hilo.
Huwaoni wale wanaokuwa na Jiwe kila mahali kuanzia Chato kupitia Idodomya hadi Magogoni ?Tumepuuza matendo yake ya unazi wa kichadema!
Badala ya kuhangaika kuipigania chadema ikae ikulu angehangaika kuokoa roho za watu ziende mbinguni.
Mwambiaje aje nimuoneshe sehemu ambazo injili haijwahi kufika kabisa ili afanye injili huko.
Kwahiyo udhalimu ndiyo jadi ya CCMTumepuuuza huyo!
Hata aende akaongee kule hard talk kama mwenzie mbelgiji hana atakachopata na wala hakuna wa kumsikiliza.