johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Gamanywa ameitafsiri Haki kama tunda la utii wa sheria na kwamba Sheria ndio hutoa haki. Gamanywa amesema Amani ni muhimu kuliko haki kwa sababu Haki hubadilika badilika kulingana na mabadiliko ya sheria lakini Amani iko pale pale.
Naye shehe Kishki ametofautiana na askofu Gamanywa kwa kusema Haki ni tunda la Uhuru ambao binadamu anapewa na Mungu tangu akiwa tumboni kwa mama yake na kwamba hakuna binadamu anayezaliwa kuwa mtumwa bali utumwa ni maamuzi yafanyikayo ukubwani. Shehe Kishki amesisitiza kuwa Haki na Amani ni mapacha wanaofanana.
Source TBC
My take; Wadau naomba maoni kuhusu tofauti ya Haki na Amani
Naye shehe Kishki ametofautiana na askofu Gamanywa kwa kusema Haki ni tunda la Uhuru ambao binadamu anapewa na Mungu tangu akiwa tumboni kwa mama yake na kwamba hakuna binadamu anayezaliwa kuwa mtumwa bali utumwa ni maamuzi yafanyikayo ukubwani. Shehe Kishki amesisitiza kuwa Haki na Amani ni mapacha wanaofanana.
Source TBC
My take; Wadau naomba maoni kuhusu tofauti ya Haki na Amani