johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Tanzania hakuna upinzani bwashee!Bila hivyo upinzani utaendelea kufanywa mafala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hakuna upinzani bwashee!Bila hivyo upinzani utaendelea kufanywa mafala.
Tanzania hakuna upinzani bwashee!
Kuna wajasiriamali wanaojiita wapinzani!Kuna udictator tu?
Kuna wajasiriamali wanaojiita wapinzani!
Kwani kumnyanyapaa Membe huko upinzani siyo udikteta maandazi?Ni kweli kabisa, hiyo ndio mitazamo ya nchi zenye madictator uchwara.
Shehe Ponda hajui lolote kuhusu amani!'Shehe' wako amesema amani ni tunda la nini?
Kwani kumnyanyapaa Membe huko upinzani siyo udikteta maandazi?
Mbona wakimbia hoja kama akina kijani?Tanzania hakuna upinzani bwashee!
Hapo Chadema wote mnafanana na Membe!Membe sio mpinzani, ni muhuni wa ccm aliyepoteza ramani kwenye siasa.
Mungu wangu, askofu wangu kapatwa na nini jamani? Mbona anatumia nguvu nyingi hivi hadi kupotosha maandiko? Sio bure kweli kwa utawala huu kila goti litapigwa.Hawapo sahihi wote japo sheikh hayupo mbali sana, Uhuru ni moja ya haki ,na haki ipo kabla ya sheria hivyo haki hawezi kuwa tunda la utii wa sheria wala tunda la Uhuru kwa kuwa haki ndio mbegu ya huo mti uliozaa hivyo vitu...
Tupe hayo maandiko!Mungu wangu, askofu wangu kapatwa na nini jamani? Mbona anatumia nguvu nyingi hivi hadi kupotosha maandiko? Sio bure kweli kwa utawala huu kila goti litapigwa.
Kishki kaeleweka sio kama wale Mashehe wafunga Hirizi wa BakwataShehe Kishki amesisitiza kuwa Haki na Amani ni mapacha wanaofanana.
Siyo kama shehe Ponda!Kishki kaeleweka sio kama wale Mashehe wafunga Hirizi wa Bakwata
GoodWote ni wachuuzi wa dini, wamekubali kulamba miguu ya Farao, hawa ni chukizo mbele za MUNGU wa mbinguni.
Labda nikueleze kisha nikuulize halafu uone kama huyo Gamanywa ameeleza hayo kwa utashi wake au kuna nguvu inamsukuma?Askofu Gamanywa ameitafsiri Haki kama tunda la utii wa sheria na kwamba Sheria ndio hutoa haki. Gamanywa amesema Amani ni muhimu kuliko haki kwa sababu Haki hubadilika badilika kulingana na mabadiliko ya sheria lakini Amani iko pale pale...