Askofu Gamanywa: Pepo la kuasi liko ndani ya vyama vyote vya siasa siyo upinzani pekee

Askofu Gamanywa: Pepo la kuasi liko ndani ya vyama vyote vya siasa siyo upinzani pekee

Kampeni zimeshaanza rasmi?Tumemalizana na COVID-19 tayari?Mbona kama tunahamisha magoli na kubadili kanuni za mchezo?
MEZA YA BUSARA WAPO RADIO ipo hewani muda huu ni vizuri kuiskiliza, leo imekuja na hoja kuwa Upinzani ni uasi. Huku ni kipindi maalum kilichozinduliwa na Polepole wiki iliyopita mahsusi kwa kampeni za uchaguzi kwa CCM.
 
Itakuwa Nelson Mandela na weusi wengi wa South Africa walikuwa waasi, maana waliupinga utawala wa weupe nchini humo
Hata Nyerere, Karume, Kenyatta, Mugabe, Kaunda, Kamuzu Banda n.k wote waasi.
 
Back
Top Bottom