Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumchafulia Gwajima lakini kawe tunataka maendeleo na mabadiliko kwahiyo usituambie huu ujinga wako
Mwenzako ndugai anamlilia arudi bungeni,wewe mshamba unatoa lugha za hovyo.Sasa nani wa kulaumiwa kama si mbunge wa Kawe kazi kwenda kupigana bungeni Kama sisi ndio tumemtuma hicho
Mara hii umeshasahau mkuu wa maraika alivyojiapiza hapeleki maendeleo sehemu aliposhinda mpinzani? Na kwani CHADEMA ilishawahi kushika dola na kuwa na uwezo wa kukusanya kodi?
Uislam umekatza kubagua kabisaMara hii umeshasahau mkuu wa maraika alivyojiapiza hapeleki maendeleo sehemu aliposhinda mpinzani? Na kwani CHADEMA ilishawahi kushika dola na kuwa na uwezo wa kukusanya kodi?
Duh!
Mbona kama wanaigiza?
Duh hii ni kazi ya serekali,si kazi ya mbunge.
Wachana na hao vichwa maji wa LumumbaMara hii umeshasahau mkuu wa maraika alivyojiapiza hapeleki maendeleo sehemu aliposhinda mpinzani? Na kwani CHADEMA ilishawahi kushika dola na kuwa na uwezo wa kukusanya kodi?