issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
mbona hamkumfufua baba wa gwajiboy? au huo ufufuo ni kwa wale mnaowakamua sadaka tu?Bwashee karibu kanisa la ufufuo na uzima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hamkumfufua baba wa gwajiboy? au huo ufufuo ni kwa wale mnaowakamua sadaka tu?Bwashee karibu kanisa la ufufuo na uzima!
Uko na akili finyu Sana.Chanjo anayoipinga ni ya wazungu,makanisa yameletwa na wazungu,
Kwanini asiachane na kanisa aende kwenye matunguli ambayo ndiyo asili ya mtanzania na waafrika,alafu unajuta watul wazima na akili zai ambao yeye Gwajima anaowaita kondoo wamekusanyika kumsikiliza.
Karibu!mbona hamkumfufua baba wa gwajiboy? au huo ufufuo ni kwa wale mnaowakamua sadaka tu?
Itakuwa mubashara bwashee!Hiyo kamati itamuhoji live au itakuwa Chenga chenga...
Safi sana... kama kweli ndugu...yabidi tuone uwezo wao na akina mkuchika... watu huwa wakitoka huko huwa wanakuwa kimya kama Paschal Mayala...sijui huwa wanatishiwa nini huko kwenye hiyo kamati...Itakuwa mubashara bwashee!
Kwani hilo kanisaBwashee karibu kanisa la ufufuo na uzima!
Wewe itakuwa ni kondoo wake,mlishashikwa akili ndiyo maana mnaambiwa anafufua wafu.Uko na akili finyu Sana.
Askofu Gwajima na Pascal Mayalla hawafanani bwashee hata kama woe ni wasukuma!Safi sana... kama kweli ndugu...yabidi tuone uwezo wao na akina mkuchika... watu huwa wakitoka huko huwa wanakuwa kimya kama Paschal Mayala...sijui huwa wanatishiwa nini huko kwenye hiyo kamati...
Kuna wachungaji wa kutosha tu bwashee!Kwani nani huwa anaongoza ibada zake.
Ndiyo maana wako kimya humu JF kama maji ya mtungi.Chadema wako busy na kigogo mmoja!
mimi siabudu kwa manabii uchwara (waliopokea imani/dini toka kwa mnaowaita mabeberu) kama nyie, Nasali chini ya mbuyu (kufuatana na imani yangu ya kiafrica), sadaka yangu ninayotoa ni pombe na chakula (nyie mnaita kutambika)Karibu!
Gwajima Ana Akili kubwa Kuliko huyo JohnJohn unampampu Gwajiboy sasa mwisho utamponza.
Hongera!mimi siabudu kwa manabii uchwara (waliopokea imani/dini toka kwa mnaowaita mabeberu) kama nyie, Nasali chini ya mbuyu (kufuatana na imani yangu ya kiafrica), sadaka yangu ninayotoa ni pombe na chakula (nyie mnaita kutambika)
Kama ilivyo kawaida. Hayuko peke yake. Yeye kipaza sauti tu. Nyuma yake yupo slow slow,yupo bushir, yupo nepe na wengine kibaoMpaka sasa ccm wapo njia panda kuhusu gwaji boi, wanajiuliza hata wakimfukuza kwa hulka yake ataendelea kuwashambulia, inshort ccm wanapitia wakati mgumu sana kuhusu huyu bwana.
Yampasa atii mamlakaBwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.
Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge.
Updates;
Usipanic bwashee..... ni vitu vidogo!
Ndio maana kesho anaenda bungeni!Yampasa atii mamlaka