#COVID19 Askofu Gwajima amshukia Waziri Doroth Gwajima. Awataka Mawaziri wa Wizara ya Afya wajiuzulu

#COVID19 Askofu Gwajima amshukia Waziri Doroth Gwajima. Awataka Mawaziri wa Wizara ya Afya wajiuzulu

Safi sana... kama kweli ndugu...yabidi tuone uwezo wao na akina mkuchika... watu huwa wakitoka huko huwa wanakuwa kimya kama Paschal Mayala...sijui huwa wanatishiwa nini huko kwenye hiyo kamati...
Askofu Gwajima na Pascal Mayalla hawafanani bwashee hata kama woe ni wasukuma!
 
mimi siabudu kwa manabii uchwara (waliopokea imani/dini toka kwa mnaowaita mabeberu) kama nyie, Nasali chini ya mbuyu (kufuatana na imani yangu ya kiafrica), sadaka yangu ninayotoa ni pombe na chakula (nyie mnaita kutambika)
 
Mpaka sasa ccm wapo njia panda kuhusu gwaji boi, wanajiuliza hata wakimfukuza kwa hulka yake ataendelea kuwashambulia, inshort ccm wanapitia wakati mgumu sana kuhusu huyu bwana.
Kama ilivyo kawaida. Hayuko peke yake. Yeye kipaza sauti tu. Nyuma yake yupo slow slow,yupo bushir, yupo nepe na wengine kibao
 
Bwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.

Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge.

Updates;
Yampasa atii mamlaka
 
Back
Top Bottom